Kaka Mtenga
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 347
- 87
Samahani Wakuu,
Mimi napendekeza kuwa ni bora kumtembeza Rais wetu kila kijiji ajionee mwenyewe hali ya wananchi wake kuliko kuukimbiza Mwenge ambao hauna macho wala mdomo.
Rais anaweza kupata walau fursa ya kujibu maswali ya wananchi kwa kukumbushwa ahadi alizotoa wakati wa kampeni
Vile vile atapata fursa ya kukiaminisha chama chake kikongwe kwa wenye akili kongwe.
Mimi napendekeza kuwa ni bora kumtembeza Rais wetu kila kijiji ajionee mwenyewe hali ya wananchi wake kuliko kuukimbiza Mwenge ambao hauna macho wala mdomo.
Rais anaweza kupata walau fursa ya kujibu maswali ya wananchi kwa kukumbushwa ahadi alizotoa wakati wa kampeni
Vile vile atapata fursa ya kukiaminisha chama chake kikongwe kwa wenye akili kongwe.