Bora kujipenda mwenyewe

Bora kujipenda mwenyewe

kritika

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
410
Reaction score
1,158
Jipende kwanza wewe kabla hujajitoa Kimasomaso na Kimuhemuhe chako cha Mahaba na kujibeba mzobemzobe na kuubwaga moyo wako mwaaaaaaaah chini kwa mtu mwingine kwa Mahaba shantashanta halafu huyo unayedhani anastahili kupendwa kuliko unavyojipenda anaishia kuumwagia moyo wako Tindikali mchana wa Jua kali!
Wengi tunaumizwa kwa sababu tunawapa watu wengine nafasi kuuuubwaaaaa kwenye mioyo yetu tukidhani wana miujiza na watatibu maradhi yetu ya moyo kwa Mwarobaini...Jamaa wakizingua tunaumia nusura kukata roho.JIPENDE KWANZA
Ujue wazi kujisumbua kumfurahisha mtu mwingine zaidi ya unavyojifurahisha nafsi yako ni kujikosea adabu na kujinyima kusiko na akili...Bila yeye pia unaweza kuishi,unaweza kuenjoy maisha,unaweza kusmile..Furaha yako haiko kwenye Remote ya Mwanaume/Mwanamke mwingine
Kutegemea mtu mwingine akupe Furaha utasubiri sana,Dunia imejaa Heart Breakers tu,wako kila kona,kila unayempa moyo ana gudulia la Tindikali, ananyunyizia tu kama anamwagilizia mbolea ya DDT kwenye Mahindi..UTALIA KILA SIKU
Kujipenda ni Rahisi sana, Jipe Raha, Ukisubiri Kupendwa dunia ya leo ni ngumu kama kumfikisha kileleni Changudoa, labda utumie mwiko...Love Yourself First, Ukipendwa iwe BONUS tu.
 
Jipende kwanza wewe kabla hujajitoa Kimasomaso na Kimuhemuhe chako cha Mahaba na kujibeba mzobemzobe na kuubwaga moyo wako mwaaaaaaaah chini kwa mtu mwingine kwa Mahaba shantashanta halafu huyo unayedhani anastahili kupendwa kuliko unavyojipenda anaishia kuumwagia moyo wako Tindikali mchana wa Jua kali!
Wengi tunaumizwa kwa sababu tunawapa watu wengine nafasi kuuuubwaaaaa kwenye mioyo yetu tukidhani wana miujiza na watatibu maradhi yetu ya moyo kwa Mwarobaini...Jamaa wakizingua tunaumia nusura kukata roho.JIPENDE KWANZA
Ujue wazi kujisumbua kumfurahisha mtu mwingine zaidi ya unavyojifurahisha nafsi yako ni kujikosea adabu na kujinyima kusiko na akili...Bila yeye pia unaweza kuishi,unaweza kuenjoy maisha,unaweza kusmile..Furaha yako haiko kwenye Remote ya Mwanaume/Mwanamke mwingine
Kutegemea mtu mwingine akupe Furaha utasubiri sana,Dunia imejaa Heart Breakers tu,wako kila kona,kila unayempa moyo ana gudulia la Tindikali, ananyunyizia tu kama anamwagilizia mbolea ya DDT kwenye Mahindi..UTALIA KILA SIKU
Kujipenda ni Rahisi sana, Jipe Raha, Ukisubiri Kupendwa dunia ya leo ni ngumu kama kumfikisha kileleni Changudoa, labda utumie mwiko...Love Yourself First, Ukipendwa iwe BONUS tu.
Unataka kutuambia unajipigaga selfie?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom