Bora Kikwete hakwenda uwanjani tungelia

Tuombe tena michuano inayofuata Kikwete asiende uwanjani au apate safari ya ghafla kwenda kutalii nje ya nchi, akiendelea kutohudhulia atakuwa analinusuru taifa na aibu ya mwenda wazimu.

Mkuu sijakusoma unamaanisha nini...
 

Hii ni zaidi ya amazing!!!!!!!!!!!!!!!! Karne ya sayansi na teknolojia bado tuna mawazo ya kishirikina katika soka!!!!!!!!! Ndo maana hatufiki mbali!!!
Unastahili kuwa mtoa pumba!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…