Bora Kenya, Tanzania haipo salama kabisa

Bora Kenya, Tanzania haipo salama kabisa

Mtoa mada umetoa angalizo la msingi sana. Watanzania wengi wanapata 3rd party information kutoka cnn, aljazeera nk. Ukitaka kujua ubaya wa hivi vikundi ingia Iraq, Syria, Afghanistan na kwingine kama huko. Wamarekani wana kila aina ya nyenzo na ukachero wa juu kabisa duniani lakini wameshindwa kabisa kudhibiti hawa jamaa. Tuache ushabiki wa kitoto eti jeshi lipo imara, wakiingia hao wanaingia kila sekta mpaka ndani ya jeshi lenyewe unawakuta. Wengine wanaleta udini, wale hawana dini wala kabila, wanaua mpaka watu wa dini zao na ndugu wa damu
 
Alshabab sio wa kuwachezea hata kidogo... Kama our failure state imeshindwa kudhibiti ajali za kila siku za barabarani its obvious Alshababu ni maili milion kuwadhibiti..
 
Hawa al shabab na vikundi kama hivi ni hatari sana, hamna nchi duniani inaweza wazuia vizuri sababu wanajichanganya na raia. Hapa Tz itakuwa majanga, tuna Jeshi zuri ila kwa hawa watu hatuko salama!
 
Hawa al shabab na vikundi kama hivi ni hatari sana, hamna nchi duniani inaweza wazuia vizuri sababu wanajichanganya na raia. Hapa Tz itakuwa majanga, tuna Jeshi zuri ila kwa hawa watu hatuko salama!


Ulishawahi kuona msako mkali ukiendeshwa? Au Ulishawahi kuona wanajeshi wameingia kufanya msako kwa tukio lolote lililogusa askari jeshi au Mali za jeshi? Km hujawahi ni bora usiseme! Hawa Alshababu kwa Tz jinsi ilivyo kijiongrafia hawawezi kujificha ndani ya nchi yetu! Wanawasumbua Kenya kwasababu wanaingia na kutoka! Hapa kwetu wataingia lkn kutoka ni kz. Watajificha wapi? Jambo muhimu si vema kuwachokoza maana ata km tutawadhibiti kujitoa muhanga wao hawaoni shida!
 
Naona bado mnaendeleza ligi ila iyo tahadhari ni ya muhimu...watatuua kama mende hapa Bongo tukiwachokoza...stay away from those guys
 
Ulishawahi kuona msako mkali ukiendeshwa? Au Ulishawahi kuona wanajeshi wameingia kufanya msako kwa tukio lolote lililogusa askari jeshi au Mali za jeshi? Km hujawahi ni bora usiseme! Hawa Alshababu kwa Tz jinsi ilivyo kijiongrafia hawawezi kujificha ndani ya nchi yetu! Wanawasumbua Kenya kwasababu wanaingia na kutoka! Hapa kwetu wataingia lkn kutoka ni kz. Watajificha wapi? Jambo muhimu si vema kuwachokoza maana ata km tutawadhibiti kujitoa muhanga wao hawaoni shida!

Usijidanganye ndugu, al shabab au vikundi kama hivyo wanafanya kazi kama usalama wa taifa. Wakati mwingine hata dada au kaka au ndugu yako yeyote anaweza kuwa ni mmoja wao bila wewe kujua. Sasa sijui huo msako wataenda kuufanya wapi wakati hata hao wafanyao msako wanaweza kugeuka ma-agent. Tuombe Mungu atuepushe na balaa hili na tuhimizane juu ya uzalendo wa nchi, tuache ujuaji na ligi zisizo na maana
 
Usijidanganye ndugu, al shabab au vikundi kama hivyo wanafanya kazi kama usalama wa taifa. Wakati mwingine hata dada au kaka au ndugu yako yeyote anaweza kuwa ni mmoja wao bila wewe kujua. Sasa sijui huo msako wataenda kuufanya wapi wakati hata hao wafanyao msako wanaweza kugeuka ma-agent. Tuombe Mungu atuepushe na balaa hili na tuhimizane juu ya uzalendo wa nchi, tuache ujuaji na ligi zisizo na maana


Kwanini USA adui Wa haya makundu no Moja duniani matukio km haya kwake hakuna? Naomba unijibu Hilo!

Nimeuliza mlishawahi kushuhudia msako wowote ule Wa jeshi Mbona hamnijibu?

Nimetoa sababu hapo juu kwamba Kenya kupakana na kimipaka na Somalia ni Moja ya sababu kubwa kwa hawa jamaa kuingia Na kutoka! Au Hilo huoni wewe?
 
Sipingi uzuri wa Jeshi ila hao jamaa technique yao ni ngumu kwa kuwa wanajichanganya kiraia na nchi yetu security yetu ki ukweli hatupo advanced ki ivyo...cha msingi ni kutowaingilia hao jamaa...kumbuken UN armies na SADC walikuwa na JW against those pro PK M23

Ile Brigade ya SADC kwa mgongo wa UN iliongozwa na Tanzania, alieiongoza ni Brigedia Jeneral James Mwakibolwa. Kama una jamaa yoyote wa Tz alieenda kupigana Vita DRC au wale askari wa M23 waulize ni nani alieingia front line kupigana na M23 na ni kikosi gani kilikuwa wapigaji mizinga kule Goma. S.Africa kazi yao ilikuwa ni kuzunguka na Helkopta tuu, mziki wote ulipigwa na JWTZ.
 
Kwanini USA adui Wa haya makundu no Moja duniani matukio km haya kwake hakuna? Naomba unijibu Hilo!

Nimeuliza mlishawahi kushuhudia msako wowote ule Wa jeshi Mbona hamnijibu?

Nimetoa sababu hapo juu kwamba Kenya kupakana na kimipaka na Somalia ni Moja ya sababu kubwa kwa hawa jamaa kuingia Na kutoka! Au Hilo huoni wewe?

tujibu wewe basi.
 
Ile Brigade ya SADC kwa mgongo wa UN iliongozwa na Tanzania, alieiongoza ni Brigedia Jeneral James Mwakibolwa. Kama una jamaa yoyote wa Tz alieenda kupigana Vita DRC au wale askari wa M23 waulize ni nani alieingia front line kupigana na M23 na ni kikosi gani kilikuwa wapigaji mizinga kule Goma. S.Africa kazi yao ilikuwa ni kuzunguka na Helkopta tuu, mziki wote ulipigwa na JWTZ.

Mkuu pamoja na yote, lakini kupambana na hawa jamaa ni ngumu sana.. Hakuna mtu anayetisha zaidi duniani kama yule ambae yeye mwenyewe hajipendi anatamani kufa.. so haoni haja kuangamiza maisha yake for the sake of others or illusion spirit..
 
Mkuu pamoja na yote, lakini kupambana na hawa jamaa ni ngumu sana.. Hakuna mtu anayetisha zaidi duniani kama yule ambae yeye mwenyewe hajipendi anatamani kufa.. so haoni haja kuangamiza maisha yake for the sake of others or illusion spirit..

Kitu cha msingi nchi yetu isiwachokoze! Lkn km wao ndio watatuchokoza kwanza Basi kupambana nao itakua lazima!
 
sasa wadau mnachokonoa ili mjue uwezo wa jeshi letu? aaahh! haipimwi JF jeshi litaendelea kuwa jeshi hizi zote ni porojo tu, kimsingi tuko vizuri.
 
Mkuu pamoja na yote, lakini kupambana na hawa jamaa ni ngumu sana.. Hakuna mtu anayetisha zaidi duniani kama yule ambae yeye mwenyewe hajipendi anatamani kufa.. so haoni haja kuangamiza maisha yake for the sake of others or illusion spirit..

Kuzungumzia suala la Ajali na Ugaidi ni tofauti. Ajali inaweza tokea kwa sababu tofaut tofauti.
Kupambana na Ugaidi ni jambo lingine.
Ndani ya Jeshi kuna kitu kinaitwa Military Intelligency. Kazi ya hiki kitengo ni kupanga mikakati ya kimapigano dhidi ya Taifa/Jamii yoyote ile Kabla ya Mapigano.
Hao unaowaona Magaidi, utambue ya kwamba kuna vitengo tayari vimeshafahamu namna ya kupambana na hao watu.
Usiifananishe Kenya na Tz, Kenya ni weak sana ktk mambo ya Jeshi na haina Experiance yoyote kwenye vita. Rejea tukio la Mall ambapo waliiba mali wanajeshi wao.
Achana na mambo ya hapa na pale hususani kujihusisha na siasa. TISS na JWTZ ni moto mwingine.
 
Mwaka uliopita watanzania 11 walishikwa mpakani na wanajeshi wa kenya wakielekea somalia kwa mafunzo...wengine waliouliwa somalia kati ya alshabaab walikuwa watanzania..alshabaab si wasomali ni wananchi wa EAC hasa kenya, tanzania na Ethiopia ndizo zilizoathirika kwa kusajiliwa kwa vijana wao.
wakikuyu 3 waliokamatwa juzi moyale kenya walikuwa alshabaab, hutaona msomali TZ lakini vilipuzi vitatumika na wananchi wenu wenyewe..jiulize mabomu mangapi yamepatikana TZ tangu mwaka 2011 na kwa nini hayakutumika? Sababu hampambani na Alshabaab. Alshabaab ingawa hatari Kenya tunajaribu kuwazuia wasigeuze nchi na kuifanya yao sababu wao wakipatiwa nafasi nzuri bila kutwangwa wanafunga safari na kuanzisha makao yao kwa nchi ikiwemo ufanyaji wamazoezi...mleta mada yuko sawa kabisa sababu kenya tumejua udhaifu wetu katika security na jinsi tunavyoweza kujilinda kutokana na adui..serikali imeanza mikakati ikiwemo kuweka ukuta baina ya boda ya kenya na somali kilomita1000,, ni vyema kujaribu kutatua tatizo hata kama ni gumu vipi kuliko kufumba macho na kujifanya hakuna shida hadi mwishowe linatokea kuwa janga kubwa..israel na amerika wamejifunza kuimarisha ulinzi baada ya miaka mingi ya mapambano na magaidi..hivi mujiulize watanzania wanaovuka mipaka kisiri kwenda somalia nani anawazuia mipakani kama si kenya..
 
acheni mawazo finyu.. hivi daladala za mbagala, g/mboto kwa namna zinavyojaa akipanda alshabab mmoja tu na explosive bomb...

malizia wenyewe.
 
Ulishawahi kuona msako mkali ukiendeshwa? Au Ulishawahi kuona wanajeshi wameingia kufanya msako kwa tukio lolote lililogusa askari jeshi au Mali za jeshi? Km hujawahi ni bora usiseme! Hawa Alshababu kwa Tz jinsi ilivyo kijiongrafia hawawezi kujificha ndani ya nchi yetu! Wanawasumbua Kenya kwasababu wanaingia na kutoka! Hapa kwetu wataingia lkn kutoka ni kz. Watajificha wapi? Jambo muhimu si vema kuwachokoza maana ata km tutawadhibiti kujitoa muhanga wao hawaoni shida!

Mkuu we acha tu,Al shabab huwezi kuwakamata kwa msako kama Mali ya jeshi..wale jamaa wanajichanganya na Raia mtaani na wamo hadi Jf
Mi nadhani wakati wenzetu wanapambana sisi tuchukue tahadhali na tujifunze zaidi na tuombe yasitufike ni mziki usiisha.

Kenya wanafanya misako kila leo na kila namna lakini wanapigwa kila kona.Hawaoni taabu kujitoa Mhanga Kariakoo na kwingineko na wala hawapo msikitini
 
Mkuu we acha tu,Al shabab huwezi kuwakamata kwa msako kama Mali ya jeshi..wale jamaa wanajichanganya na Raia mtaani na wamo hadi Jf
Mi nadhani wakati wenzetu wanapambana sisi tuchukue tahadhali na tujifunze zaidi na tuombe yasitufike ni mziki usiisha.

Kenya wanafanya misako kila leo na kila namna lakini wanapigwa kila kona.Hawaoni taabu kujitoa Mhanga Kariakoo na kwingineko na wala hawapo msikitini


Kujitoa muhanga Hilo Mimi sikatai! Lkn naomba unijibu swali Moja tu, Uganda alipeleka askari Somalia kabla ya Kenya Lkn Kwanini tumeshuhudia tukio Moja tu Uganda la kigaidi tofauti na Kenya yamekua mengi?
 
Kujitoa muhanga Hilo Mimi sikatai! Lkn naomba unijibu swali Moja tu, Uganda alipeleka askari Somalia kabla ya Kenya Lkn Kwanini tumeshuhudia tukio Moja tu Uganda la kigaidi tofauti na Kenya yamekua mengi?

KDF ni weak!!!
 
KDF ni weak!!!



Ndio! Hiyo ni Moja ya sababu! KDF Ni dhaifu!

Unajua watu wengi wanalinganisha matukio ya kisiasa hasa haya ya usalama Wa taifa na Polisi na mambo Makubwa km Hayo! Yani km Hayo mambo yanotokea ktk nchi yetu huu upuuzi wa kisiasa huwezi kabisa kuuona!
 
Back
Top Bottom