Bora Kenya, Tanzania haipo salama kabisa

Bora Kenya, Tanzania haipo salama kabisa

Bila Uislam, Dunia iko Salama. Uislam ni janga

ningekuona wa maana kama ungefunga na kuomba ili mungu wako aufute uislamu! kama anaweza kufufua wafu atashindwaje kuufuta uislam wakati amepewa mamlaka yote ya mbinguni na duniani? na yeye ndiyo alieumba dunia na vilivyomo wakiwemo na waislamu anashindwaje kuwadhibiti viumbe aliowaumba mwenyewe waasifanye fujo kwenye dunia yake na kwa wateule wake?.....mpaka namshangaa MUNGU WAKO!
 
Rushwa ni tatizo wahamiaji haramu wanaingia kama kwao sababu rushwa
 
Kweli Mkuu watu wanaweka illogical urguments...Al Shabaab sio kama waasi wa M23

kweli mkuu....al shabab ni hatari sana hatari hatari, hawafai kabisa, jshi la kwnya wangetoka somalia tu
 
Rushwa ni tatizo wahamiaji haramu wanaingia kama kwao sababu rushwa

mkuu ukiangalia border ya somali na kenya ni kubwa mnooooo ku control wazamiaji ni kazi sana, rushwa nayo tatizo kweli
 
Tofautisha kupigana na MTU msituni alie na silaha kama wewe vs MTU anaevizia kushambulia either sokoni or elsewhere...mkitaka thibitisha hilo peleka JW somalia uone TZ kama itawadhibiti mnavofikiria

Tz jeshi liko vizuri hakuna nchi yoyote ya africa inayoweza kutia mguu ikawa salama
 
Tz jeshi liko vizuri hakuna nchi yoyote ya africa inayoweza kutia mguu ikawa salama

Sipingi uzuri wa Jeshi ila hao jamaa technique yao ni ngumu kwa kuwa wanajichanganya kiraia na nchi yetu security yetu ki ukweli hatupo advanced ki ivyo...cha msingi ni kutowaingilia hao jamaa...kumbuken UN armies na SADC walikuwa na JW against those pro PK M23
 
Tz jeshi liko vizuri hakuna nchi yoyote ya africa inayoweza kutia mguu ikawa salama

tz walijuaa ndomana hawakupekeka jeshi huko....
vita vyao havina mwisho wale
 
Sipingi uzuri wa Jeshi ila hao jamaa technique yao ni ngumu kwa kuwa wanajichanganya kiraia na nchi yetu security yetu ki ukweli hatupo advanced ki ivyo...cha msingi ni kutowaingilia hao jamaa...kumbuken UN armies na SADC walikuwa na JW against those pro PK M23

waganda walitoa majeshi yao somalia bila kupenda
 
Lazima viwe na mwisho tutakwenda kuuwa somali nchi nzima

wamarekani wenyewe hawana hamu huko.......mkiwavamiaa tu vile vikundi vyote huko wanaungana wanawatandika ......
wale ni kuachana nao tu
 
Tz jeshi liko vizuri hakuna nchi yoyote ya africa inayoweza kutia mguu ikawa salama

Nakubali unaweza sifu jeshi lenu ni imara hapa duniani lakini unadhani watapigana na jeshi ama mwananchi kama wewe? fikiria kabla kuongea
 
Nakubali unaweza sifu jeshi lenu ni imara hapa duniani lakini unadhani watapigana na jeshi ama mwananchi kama wewe? fikiria kabla kuongea

Vita vita wote tutapigana sheria za nchi sisi sote ni usalama
 
wamarekani wenyewe hawana hamu huko.......mkiwavamiaa tu vile vikundi vyote huko wanaungana wanawatandika ......
wale ni kuachana nao tu

Hapo kenya wamefanya nini?kwanza njaa tupu wasomali hawana nguvu wote wamekonda kwa njaa
 
Hapo kenya wamefanya nini?kwanza njaa tupu wasomali hawana nguvu wote wamekonda kwa njaa

Mwambie kikwete atume askari hata 10 tu somalia..kisha utasikia ni mabomu mangapi yatakayoanguka TZ. hawa jamaa wameenea TZ kama uchafu, vijana wabongo washaandikwa kazi na Alshabaab somalia
 
Hapo kenya wamefanya nini?kwanza njaa tupu wasomali hawana nguvu wote wamekonda kwa njaa

wamekonda......wasomali wanatumia latest weapons
washajitoa mhanga kitambo....ukijiingiza beef nao ww
utaaumiaaa tu mkuu ni kuachana nao tu
 
Back
Top Bottom