....Swali nzuri.Kiingereza kuanzia nursery? Kwa walimu hawahawa tulionao au wanakuja wengine kutoka Uingereza?
Mkuu, hiyo sera ilianza na kutangazwa tangu Kawambwa akiwa Waziri wa Elimu, hayo ni marekebisho ya sera ambayo inatekelezwa ktk awamu hii.Ukweli usiopingika kuwa prof ndalichako anaharibu elimu yetu kabisa elimu ya msingi sasa kusomwa kwa miaka sita kila kitu tunachokiona ndani ya wizara ya elimu kwa sasa ni kufanya mambo bila utafiti wowote mwisho wa siku kila kitu kinawashinda tu mfano walianza na ada elekezi shule binafsi lakini ikawashinda ,wameshindwa kuajiri walimu kuziba pengo wameshindwa kulipa madai ya walimu .
Bora enzi za kikwete kuliko awamu hii maana elimu ndoo inakufa kabisa wameshindwa kuwapa mikopo wanafunzi wa elimu ya juu wote ,gharama za vyuo vya ualimu vya serikali mfano butimba TTC zimeongezeka na kuwa vyuo vya kusoma matajiri tu hakuna wa kutetea haya bora shukuru kawambwa karo ya hivyo vyuo ilikuwa elfu sabini sasa hivi laki sita jumla na michango laki Tisa kwa mwaka .
Ndio uharibifu wenyewe huo wa elimu, watu hawasomi ili wafaulu mitihani we vipi wewe?!Naunga mkono hoja ya shule ya msingi miaka 6
Ni uamuzi sahihi muda mwingi mtu anapoteza kusoma mbona leo watu wanasoma QT miaka 2 na wanafauli
Why miaka saba ya shule ya msingi achen mawazo mgando
Mama anatekeleza sera ya elimu ya mwaka 2014 K kama sijakosea. Kufuatana na sera hiyo elimu ya msingi ni miaka sita. ( Swali. Mama ndalichako alikuwa waziri wakati wa maandalizi ya sera?) Kosa lake ni Kutekeleza sera iliyoandaliwa na wataalamu?Ukweli usiopingika kuwa prof ndalichako anaharibu elimu yetu kabisa elimu ya msingi sasa kusomwa kwa miaka sita kila kitu tunachokiona ndani ya wizara ya elimu kwa sasa ni kufanya mambo bila utafiti wowote mwisho wa siku kila kitu kinawashinda tu mfano walianza na ada elekezi shule binafsi lakini ikawashinda ,wameshindwa kuajiri walimu kuziba pengo wameshindwa kulipa madai ya walimu .
Bora enzi za kikwete kuliko awamu hii maana elimu ndoo inakufa kabisa wameshindwa kuwapa mikopo wanafunzi wa elimu ya juu wote ,gharama za vyuo vya ualimu vya serikali mfano butimba TTC zimeongezeka na kuwa vyuo vya kusoma matajiri tu hakuna wa kutetea haya bora shukuru kawambwa karo ya hivyo vyuo ilikuwa elfu sabini sasa hivi laki sita jumla na michango laki Tisa kwa mwaka .
Nakumbuka alikuwa marehemu joseph mungaiHuko nyuma ilishawah kutokea Waziri mmoja kuvuruga Elimu ya Sekondary, tunaomba mabadiliko yoyote yafanyike baada ya tafit za Kisayansi kuprove na isiwe vinginevyo
Huu ni uandishi wa kukurupuka kaka. Umeanza vizuri waziri anaua elimu kwa uamuzi wa kuifanya shule ya msingi miaka sita bila tafiti. Mi nilizani wewe ungetuambia hizi mtoto kumaliza shule ya msingi miaka sita kuna madhara gani. Kama kweli umesoma vizuri elimu ya msingi niambie darasa la saba kuna lipi la nyongeza zaidi. Hivi kenya shule ya msingi ni miaka mingapi. Mi nazani ni wazo jema na hakuna tafiti inayoonyesha mtoto akianza sekondari akiwa na miaka kumi na tatu ni shida. Ulaya mtu ana miaka 30 ameshapata PhD umefuatilia mfumo wa elimu wao.Ukweli usiopingika kuwa prof ndalichako anaharibu elimu yetu kabisa elimu ya msingi sasa kusomwa kwa miaka sita kila kitu tunachokiona ndani ya wizara ya elimu kwa sasa ni kufanya mambo bila utafiti wowote mwisho wa siku kila kitu kinawashinda tu mfano walianza na ada elekezi shule binafsi lakini ikawashinda ,wameshindwa kuajiri walimu kuziba pengo wameshindwa kulipa madai ya walimu .
Bora enzi za kikwete kuliko awamu hii maana elimu ndoo inakufa kabisa wameshindwa kuwapa mikopo wanafunzi wa elimu ya juu wote ,gharama za vyuo vya ualimu vya serikali mfano butimba TTC zimeongezeka na kuwa vyuo vya kusoma matajiri tu hakuna wa kutetea haya bora shukuru kawambwa karo ya hivyo vyuo ilikuwa elfu sabini sasa hivi laki sita jumla na michango laki Tisa kwa mwaka .
Usiongee vitu usivo vifahamu mpango wa muundo mpya wa Elimu ulianza tokea 2014 na ulikua ukiandaliwa kibaha usikurupuke.Ukweli usiopingika kuwa prof ndalichako anaharibu elimu yetu kabisa elimu ya msingi sasa kusomwa kwa miaka sita kila kitu tunachokiona ndani ya wizara ya elimu kwa sasa ni kufanya mambo bila utafiti wowote mwisho wa siku kila kitu kinawashinda tu mfano walianza na ada elekezi shule binafsi lakini ikawashinda ,wameshindwa kuajiri walimu kuziba pengo wameshindwa kulipa madai ya walimu .
Bora enzi za kikwete kuliko awamu hii maana elimu ndoo inakufa kabisa wameshindwa kuwapa mikopo wanafunzi wa elimu ya juu wote ,gharama za vyuo vya ualimu vya serikali mfano butimba TTC zimeongezeka na kuwa vyuo vya kusoma matajiri tu hakuna wa kutetea haya bora shukuru kawambwa karo ya hivyo vyuo ilikuwa elfu sabini sasa hivi laki sita jumla na michango laki Tisa kwa mwaka .
hawahawa mkuuKiingereza kuanzia nursery? Kwa walimu hawahawa tulionao au wanakuja wengine kutoka Uingereza?
Kwanza hii ya kufuta darasa moja na kuanzisha mtaala mpya ni kuanzisha gharama mpya na kubwa muno maana utahitaji syllabus mpya,vitabu vipya toka la 1 na mafunzo kwa walimu tena yaani ni shida.Huyu mama ni mbovu muno.Ndalichako ni kati ya mawaziri 10 wabovu kabisa kuwahi kuwepo nchi hii , wanaongozwa na Dk Mpango .
Kuna mambo kibao ya kushughulikia kwenye elimu lakini siyo MAJOHO wala miaka 7 , lipeni madeni ya walimu kwanza .
Amenukuliwa kwenye NIPASHE la leoHivi umeliona hilo tamko wapi? ni lini na ni wapi Ndalichako amesema hayo?
Hili ndilo swali bora lililowahi kuulizwa hapa jf tangu mwaka 2017 uanze , Ndalichako akijibu hili sitamsakama tena .Hivi sisi kama taifa hatuna sera ya elimu ambayo itaheshimiwa na mawaziri wote watakaopita kwenye wizara hiyo ili kuepuka waziri kufanya anavyoona yeye inafaa?
Huyo ndio mhaya mjinga kuliko wote Tanzania .Amenukuliwa kwenye NIPASHE la leo
9/1/2017
Ndiyo maana mimi niliapa kuwa nikiwa hai watoto wangu wote hawatasoma shule za Kata, hebu fikiria miaka saba kulikuwa na wanafunzi wengi walikuwa wanamaliza bila kujua kusoma na kuandika achilia mbali hesabu, sasa ukifanya miaka sita itakuwaje
Kama waliopo darasa la 3 kwa sasa ndo wanaishia la 6 hivyo unataka kutuambia kwa mwaka huo kutakuwa na wahitimu wa darasa la 6 na hao wa darasa la 7?Ni suala lililofanyiwa utafiti muda mrefu,walioko darasa la tatu sasa,ndio wataishia la sita na kisha kujiunga na kidato cha tatu hadi nne ambayo sasa darasa la awali hadi kidato cha nne itajulikana kama ELIMU MSINGI,na hii ni lazima kwa kila mtoto wa Tanzania,kama vile ilivyo kwa sasa kwa ELIMU YA MSINGI!