wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,051
- 2,462
Sijui nani alimdanganya, dah!
Hajadanganywa wala nini, ELIMU ndogo
Sijui nani alimdanganya, dah!
Orodha ni ndefu sana iliyojaa watu mbalimbali maarufu hapa bongo wakiwemo waimbaji, waigizaji na wanasiasa, ila kwa uchache hawa wafuatao wanaelezwa kuwemo: Mr.Blue, TID, Kanumba, Jumbe, Diamond, H-Baba, Kapten Komba, Lundenga, Prezoo, Zitto, Ray, JB nk.mi nakumbuka wa mwanzo kabisa alikuwa Mr. Blue akaja TID... waliofuata sasa network yangu chenga
Mwajuma ndala ndefuHuyu ni nani?