moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,905
- 4,928
Tuna mpango lishuke kama liwe kama zamani 7500.
Sawa ngoja mpewe, shughuli yake mtaiona wakati wa marejesho!Habari bandungu ,..ningependa kujua ukweli kuhusu hili swala linalotapakaa katika magroup mbalimbali ya vyuo,, kuwa kutakuwa na ongezeko la hadi asilimia 60 ya pesa ya matumizi kwa wanachuo yaani BOOM na kufikia 15,000TZS kwa siku kuanzia mwezi huu wa kumi vyuo vikifunguliwa.
SAHAU LABDA MKUU AACHIE NGANZIHabari bandungu ,..ningependa kujua ukweli kuhusu hili swala linalotapakaa katika magroup mbalimbali ya vyuo,, kuwa kutakuwa na ongezeko la hadi asilimia 60 ya pesa ya matumizi kwa wanachuo yaani BOOM na kufikia 15,000TZS kwa siku kuanzia mwezi huu wa kumi vyuo vikifunguliwa.
UNASAHAU MRADI YA UJENZI WA BARABARA YA KIMARA AU???Makusanyo yameongezeka mara saba kulinganisha na kipindi cha nyuma ,jana mama(Ndalichako) kasema.
kama sitakuwa mbali na mawazo yangu ni crisis sio??Umesahau moja... vuta nywele hapo na pangilia tena kwa umakini.
Hii ndiyo ya utaratibu mpya?Naona hapo kwenye form meal and accommodation 8500View attachment 884433
Vile Boom linaingia akili yote inawasha kwa wakati huo....mjitahidi tu kuja kulipa asilimia kadhaa zaidi ya principal loanNaona hapo kwenye form meal and accommodation 8500View attachment 884433
penyewe au sio?