Boom kuongezeka rasmi tarehe 30/10/2018

Boom kuongezeka rasmi tarehe 30/10/2018

Rashidi7

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
612
Reaction score
212
Habari bandungu ,..ningependa kujua ukweli kuhusu hili swala linalotapakaa katika magroup mbalimbali ya vyuo,, kuwa kutakuwa na ongezeko la hadi asilimia 60 ya pesa ya matumizi kwa wanachuo yaani BOOM na kufikia 15,000TZS kwa siku kuanzia mwezi huu wa kumi vyuo vikifunguliwa.
 
Ni kweli! Serikali ya Mauritius kupitia wizara ya elimu wameamua kufanya hivyo kwa sababu mapato ya nchi yameongezeka kutokana na mapato ya utalii wa fukwe. Hivyo wakaona ni muhimu kuwathamini vijana wao wazalendo hususani waliobahatika kufika elimu ya juu.
 
vzur ila mkumbuke tu kima cha chini cha mshahara kwa tanzania level ya bsc kwa kampuni nyng una range kuanzia 500k- 1.0mil ambako wakikata ile 15% yao wanakula 150k-170k kwa miaka mi5 hadi 6 kwa sasa ila kwenu itaenda had miaka nane hv ninavyoona
 
Ni kweli! Serikali ya Mauritius kupitia wizara ya elimu wameamua kufanya hivyo kwa sababu mapato ya nchi yameongezeka kutokana na mapato ya utalii wa fukwe. Hivyo wakaona ni muhimu kuwathamini vijana wao wazalendo hususani waliobahatika kufika elimu ya juu.
Akili za maiti hizi.
 
vzur ila mkumbuke tu kima cha chini cha mshahara kwa tanzania level ya bsc kwa kampuni nyng una range kuanzia 500k- 1.0mil ambako wakikata ile 15% yao wanakula 150k-170k kwa miaka mi5 hadi 6 kwa sasa ila kwenu itaenda had miaka nane hv ninavyoona
Hatari hii.
 
Kweli Mwanafunzi ni Mwanafunzi tu, haijalishi anasoma level gana Kuna vijitabia lazima wafanane. Hii tabia nilidhani iko o-level tu
Tabia ya kuuliza ili kupata uhakika wa jambo unaloskia.?
 
Back
Top Bottom