Easy2Buy Computers
Member
- Nov 13, 2015
- 19
- 6
Nimekutana na wanafunzi wengi wa vyuo ambao angalau wanapokea Fedha za kujikimu kutoka Bodi ya mikopo lakini wanalalamika sana kwamba Mkopo haukidhi mahitaji.
Ni kweli Katika soko laptop mpya inagharimu angalau 550,000 ikiwa na sifa za kawaida yaani Intel Celeron, RAM 2GB, HDD 500GB.
Garama hiyo Ni kubwa mno, akinunua itamlazimu kujibana sana (UDSM wanajua misemo yao; utasikia Shatopori, RB nk).
USHAURI
Wanavyuo wanaweza kununua Laptop zilizotumika kwa garama nafuu Na zikafaa kutimiza kusudi lilelile. Katika soko Kuna Brand Na Model ambazo zilitengenezwa kwa viwango vya Juu sana, hivyo basis ukinunua used upo salama. Hp Probook Na Elitebook ziko vizuri. Dell Latitude E6300, E6400, E6500 pia ziko vizuri. Zikiwa na Intel Core 2Duo, RAM 2GB na HDD 160GB Bei huwa kati ya Tzs 320,000 hadi 380,000/-
Wanafunzi wengi hukwazika sana kununua laptop yenye hard disk ndogo kama 80GB au 160GB. Hard Disk sio tatizo, tatizo Ni matumizi mabaya ya raslimali. Wanafunzi wengi hujaza mamuvis, maseries , masizonz, mapo.. na Kila uchafu atakoukuta kwa rafiki au torrent.
Muhimu sana kujua mahitaji ya msingi. Notes za kusoma chuo miaka Minne hazifiki 10GB. Vinginevyo kutakuwa na video na audio .
Kupata ushauri wa Bure namna ya kuchagua wapi pa kununua piga 0715130212 au 0788130212
Ni kweli Katika soko laptop mpya inagharimu angalau 550,000 ikiwa na sifa za kawaida yaani Intel Celeron, RAM 2GB, HDD 500GB.
Garama hiyo Ni kubwa mno, akinunua itamlazimu kujibana sana (UDSM wanajua misemo yao; utasikia Shatopori, RB nk).
USHAURI
Wanavyuo wanaweza kununua Laptop zilizotumika kwa garama nafuu Na zikafaa kutimiza kusudi lilelile. Katika soko Kuna Brand Na Model ambazo zilitengenezwa kwa viwango vya Juu sana, hivyo basis ukinunua used upo salama. Hp Probook Na Elitebook ziko vizuri. Dell Latitude E6300, E6400, E6500 pia ziko vizuri. Zikiwa na Intel Core 2Duo, RAM 2GB na HDD 160GB Bei huwa kati ya Tzs 320,000 hadi 380,000/-
Wanafunzi wengi hukwazika sana kununua laptop yenye hard disk ndogo kama 80GB au 160GB. Hard Disk sio tatizo, tatizo Ni matumizi mabaya ya raslimali. Wanafunzi wengi hujaza mamuvis, maseries , masizonz, mapo.. na Kila uchafu atakoukuta kwa rafiki au torrent.
Muhimu sana kujua mahitaji ya msingi. Notes za kusoma chuo miaka Minne hazifiki 10GB. Vinginevyo kutakuwa na video na audio .
Kupata ushauri wa Bure namna ya kuchagua wapi pa kununua piga 0715130212 au 0788130212