BOOM Halitoshi Kununua Computer

BOOM Halitoshi Kununua Computer

Hela ya boom inatosha sana ukiamua kuishi maisha ya kawaida!
 
kwa udom ukiamua kujibana kwa kipindi nilichosoma unatumia tu 60,000 kwa mwezi kwenye kula, hio hela unampa mama ntilie, unakula tu kwake. Tena chakula kizuri kuliko cafeteria, unakula ugali na mboga saba.

Boom kipindi hiko lilikuwa 7500 kwa siku au 225,000 kwa mwezi au 900,000 kwa semester, plus 200,000 ya stationary inakuja 1.1m.

Fanya mahesabu sasa unajibana sana
-240,000 chakula
-60,000 malazi

hapo una laki 8 ipo mfukoni, sijui bei za mama ntilie/wajasi kwa sasa ila hazitatofautiana sana.
60,000 kwa mwezi kwa kula???..chakula gani hicho??..it means ulikuwa ukula 2000 kwa siku
 
60,000 kwa mwezi kwa kula???..chakula gani hicho??..it means ulikuwa ukula 2000 kwa siku
ugali na mboga saba
-dagaa kidogo
-nyama na mchuzi wake
-mboga za majani
-bamia
-maharage
-nyanya chungu na vitu kama biringanya
-ipo mboga ya saba nimeisahau.

Plate nzima ilikuwa inauzwa buku, na usiku ulikuwa una option ya chapati 3 na supu kwa buku hilo hilo ama sahani ya wali.

Kwa waliosoma humanities 5 years ago watanisaidia.

Kuna watu walikuwa wakipata boom tu wanapeleka 120,000 kwa mama ntilie na inayobaki inaishia kwenye pombe ndani ya wiki moja tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom