Mkuu napenda vitabu ila sijui pa kuvipata kwa kweli ,teknolojia ni pana sana ,natumia simu naomba unipe abc niweze kusoma vitabu nami mzeetru kabisa na nishakuwa addictated yaan kusomea kwebye gadget zingine kama cm kindle fire hdx ni basi tu ila paper white.. acha ina feeling kama umeshika an actual book ...
Mkuu napenda vitabu ila sijui pa kuvipata kwa kweli ,teknolojia ni pana sana ,natumia simu naomba unipe abc niweze kusoma vitabu nami mzeetru kabisa na nishakuwa addictated yaan kusomea kwebye gadget zingine kama cm kindle fire hdx ni basi tu ila paper white.. acha ina feeling kama umeshika an actual book ...
Nani mwandishiWakuu nahitaji soft copy ya kitabu cha "The Vagina Bible"
Dr. Jennifer GunterNani mwandishi
Mkuu napenda vitabu ila sijui pa kuvipata kwa kweli ,teknolojia ni pana sana ,natumia simu naomba unipe abc niweze kusoma vitabu nami mzee
Nipe tu yoyote ya kuanzia please nianze nayo mie nimweupe sana kwa mambo hayo.Kwa kuanzia download app yoyote ya E book reader.. zipo nyingi ambazo ni nzuri kama mfano kama kindle ila sababu ni newbie katika hili we tafuta kwenye app store simple ambayo itafiti reading sye yako na books organization.. unaweza ukadownload tofaut tofaut ili ujaribu ipi inakufaa
kindle iko own na Amazon, so kidogo ni complicated kwenye setup yake na hata kuingiza vitabu vyako
pia asilimia kubwa ya App za E book readers zinakujaga na some books kama vile kupromote App zao maana nyingi ziko associated na wauzaji wa Ebooks .. so kuna free books zinakuwa pre loaded kwenye App.. hii itakupa mwanga mzur wa kujaribu kuona App ipi inafaa
baada ya kuwa comfortable na App uliochagua utaniambia vitabu gan unapenda naweza nikakupatia
Hiyo imepigwa ban na mamlaka za US, sababu nafikiri ni copyright issues, waandishi wengi walilalamika, Kaz zao kusambazwa for free hasa kupitia hii Z RIBRARYNimeichek Appstore sijaipata au ina jina jingine?
Nipe maarifa mkuu nilikuwa naconvert kwenye format ya epub kabla ya kuweka kwenye kindle ila siku hizi imegomanatumia Kindle app sababu nina kindle fire na kindle ink
na natumia calibre ku sncy vitabu vyangu kati ya kindle app na kindle devices.. na vitabu na sync na goodreaders, na bookfusion. napenda bookfussion.com zaid sababu iko straight
kindle app nzuri sema inahitaj some skills uweze kuingiza vitabu ambavyo hujanunua amazon. ndo hapo napotumia calibre software
Majibu ya hapa ndiyo nayatafutaMkuu ninekuwa nikitumia kindle whitepaper ila kuna vitabu nilidownload kutoka mtandaoni format ya epub vimegoma kusoma, nikitumia format ya pdf font inakuwa ndogo sana