joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
Nzuri sana. Naitumia sana hiyo App.Mi natumia kindle. Hapa nikiwa nimenunua kitabu. Pia natumia ReadEra, iko vizuri na ina vitabu vingi unaweza pakua bure. Ila hasa siku hizi natumia Light reader. Hii unaweza pakua vitabu vingi sanaa.
Hizi app kinachonifurahisha ni kukurudisha page ileile hata kama ulikifungua mara ya mwisho mwaka jana.
Pia nikitaka kusoma vitabu vya kiswahili naingia maktaba app by pictuss.