Book readers, tushirikishane App nzuri za kusomea (e-reader)

Mi natumia kindle. Hapa nikiwa nimenunua kitabu. Pia natumia ReadEra, iko vizuri na ina vitabu vingi unaweza pakua bure. Ila hasa siku hizi natumia Light reader. Hii unaweza pakua vitabu vingi sanaa.
Hizi app kinachonifurahisha ni kukurudisha page ileile hata kama ulikifungua mara ya mwisho mwaka jana.

Pia nikitaka kusoma vitabu vya kiswahili naingia maktaba app by pictuss.
Nzuri sana. Naitumia sana hiyo App.
 
Kwa watumiaji wa iOS any recommend application ya kusomea.



bahat mbaya play store wamekuwa wabinafsi sana kuweka apps nzuri za kusomea.. mara waweke mara watoe..

ila kama una account amazon na unaufaham kutumia calibre kwa ajili ya kuingiza vitabu kwenye kindle app basi tumia kindle app ni one of the best ebook reader app...

shida ni kuwa amazon nao wabinafsi kindle app hai scan vitabu ulivyonavyo kwenye cm.. ina list vitabu au document ulizonazo kwenye account yako ya amazon.

ili uweze kuingiza vitabu kwenye kindle app inabid utumie ebook management kama vile calibre.. au ujiunge cloud server services... the likes of goodreads au bookfusion ambazo unaweza ukasend vitabu kwenye kindle app

infact napendelea zaid bookfusion sababu haina mambo mengi na you can easily send ebooks kwenda kwenye kindle ... kwa Android ina app yake unaweza ukasoma vitabu ila kwa IOS haina app

nje ya hapo tumia epub reader ( itabid vitabu viwe kwenye format ya Epub)
 
Napenda sana kujisomea vitabu but sina acces hasa hizi Ebooks..wajuba nipeni Source mnazotumia kupat vitabu mtandaoni.
 
bahat mbaya play store wamekuwa wabinafsi sana kuweka apps nzuri za kusomea.. mara waweke mara watoe..

ila kama una account amazon na unaufaham kutumia calibre kwa ajili ya kuingiza vitabu kwenye kindle app basi tumia kindle app ni one of the best ebook reader app...

shida ni kuwa amazon nao wabinafsi kindle app hai scan vitabu ulivyonavyo kwenye cm.. ina list vitabu au document ulizonazo kwenye account yako ya amazon.

ili uweze kuingiza vitabu kwenye kindle app inabid utumie ebook management kama vile calibre.. au ujiunge cloud server services... the likes of goodreads au bookfusion ambazo unaweza ukasend vitabu kwenye kindle app

infact napendelea zaid bookfusion sababu haina mambo mengi na you can easily send ebooks kwenda kwenye kindle ... kwa Android ina app yake unaweza ukasoma vitabu ila kwa IOS haina app

nje ya hapo tumia epub reader ( itabid vitabu viwe kwenye format ya Epub)
Thanks mkuu
 
Mkuu ninekuwa nikitumia kindle whitepaper ila kuna vitabu nilidownload kutoka mtandaoni format ya epub vimegoma kusoma, nikitumia format ya pdf font inakuwa ndogo sana

Cha kufanya, pakua na uinstol Calibre (calibre - E-book management). Ongeza epub yako kwenye maktaba yako ya Calibre. Kisha unganisha Kindle yako kwa kutumia waya wa USB. Send your book to Kindle. Calibre itakiconvert automatically, na kindle itakipokea.

Mbadala mwingine ni wa kutumia Kindlegen . Lakini huu ni kama uko comfortable na command line. Amazon.com Message

Mbadala mwingine tena ni wa kutumia Kindle Previewer. Ukifungua epub yako kwenye Kindle Previewer yenyewe itakiconvert kuwa Kindle Format. Kindle Previewer
 
tru kabisa na nishakuwa addictated yaan kusomea kwebye gadget zingine kama cm kindle fire hdx ni basi tu ila paper white.. acha ina feeling kama umeshika an actual book ...
Kindle Paperwhite ni device of my choice pia. Kweli ni kama hakuna tofauti na kusoma kitabu halisi. Only better... Ukiajasti mwanga, mtu anaweza kushindwa kuamini kwamba ulichoshika siyo kitabu...
 
Kwa wasoma vitabu, kutokana na sababu mbalimbali, wengi tunatumia zaidi softcopies badala ya hardcopies. Formats za vitabu zilizotawala ni pdf, ePub na Mobi. Mimi binafsi napendelea ePub au mobi kuliko pdf sababu ya fonts za pdf ni ndogo ndogo sana.

Hivyo kwenye kusoma, App unayotumia inaweza kukuvutia kusoma au la. Mimi binafsi ninatumia App mbili kwenye kusoma, sababu ninasoma vitabu vya namna mbili, Novels and Non-novels.

Non-Novels.

Nasoma zaidi vitabu vya Non fictions kama vya Historia, wasifu, Sayansi, Siasa n.k. Hivyo kwenye usomaji hujikuta nahitaji kutake Note na napenda zaidi Fonts ziwe kubwa na ndefu huku nikiwa na display kubwa. Hivyo baada ya Safari ndefu ya kutumia na kuacha, nimejikuta ni mlevi wa App ya ReadEra.

View attachment 1789796

Naipenda App sababu, ya Fonts zake zinavutia sana kusoma (inakupa uchaguzi wa fonts). Font hizi nimezi-custumize hivi;
View attachment 1789799
Pia inakupa mfumo mzuri wa kutengeneza folders, kama za To Be Read list, Read List, Collection (hapa unaweza tengeneza 'shelf' yako ya vitabu kutokana na mpangilio uutakao mf, History, Politics, Novels, Siasa, Tawasifu n.k. Inakupa uwezo wa kupanga kwa Authors. Sifa yake nyingine kubwa, hakuna Ads kabisa. App nyingi zinakera kwa Ads.
View attachment 1789805
View attachment 1789806


Novels.

Novels pia zinavutia ikiwa na fonts style fulani fulani. Hapa natumia App ya PrestigioReader.

View attachment 1789808View attachment 1789809View attachment 1789810

App nzuri yenye inayokupa muonekano na nyenzo sahihi za kutumia, kwenye usomaji, huvutia sana kusoma na kusoma. Hatimaye kukimaliza kitabu, kukupa urahisi wa kufanya reviews na discussions kwenye forums mbalimbali.


Tushirikishane, wewe unatumia App gani? Inakuvutia vipi?
Keep me posted
 
Back
Top Bottom