PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,769
- 16,016
Unasema ana mwili wa kizembe lakini mwenzako anasimamia misingi, hayumbi anapigania haki za watu.Alivyo na mwili wa kizembekizembe hivyo akipelekwa mahabusu si anaenda kuwa chakula
Turidi kwako sasa, una mwili wa gym, umebinuka kiuno, huna unachosimamia zaidi ya kusifia kuwa Bashite na mama wanaupiga mwingi.