PreGE2025 Boni Yai: Mbowe asikae pembeni kwani bado tunamuhitaji

PreGE2025 Boni Yai: Mbowe asikae pembeni kwani bado tunamuhitaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,439
Reaction score
6,691
Wakuu,

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob maarufu kama "Boni Yai" akiwa Kwenye Mkutano wa hadhara wa Chama cha Chadema Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro ameeleza kuwa Chama chake kinatambua mchango mkubwa wa Aliyekuwa Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, akimuomba asikae mbali na Chama hicho kutokana na kuhitajika kwake.

Jacob amesisitiza wajibu wa kuendelea kumtumia Mbowe na Wastaafu wengine wa Chama hicho katika ushauri, usuluhishi wa migogoro ndani ya Chama, akisema Wanachama na wapenzi wa Chadema wanawajibika kuwalinda na kuwatunza wastaafu hao.


Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Tuna wajibu mkubwa wa kuwalinda na kuwaheshimu Wazee waliomaliza utumishi wao. Tuna kila sababu ya kujivunia utumishi wa Mbowe ndani ya Chama hiki na tunamwambia asiwe mnyonge sisi vijana tuko nae na tunathamini kazi yake na asikae pembeni kwani bado tunamuhitaji."
Amesema Kiongozi huyo.


 
Wakuu,

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob maarufu kama "Boni Yai" akiwa Kwenye Mkutano wa hadhara wa Chama cha Chadema Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro ameeleza kuwa Chama chake kinatambua mchango mkubwa wa Aliyekuwa Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, akimuomba asikae mbali na Chama hicho kutokana na kuhitajika kwake.

Jacob amesisitiza wajibu wa kuendelea kumtumia Mbowe na Wastaafu wengine wa Chama hicho katika ushauri, usuluhishi wa migogoro ndani ya Chama, akisema Wanachama na wapenzi wa Chadema wanawajibika kuwalinda na kuwatunza wastaafu hao.

"Tuna wajibu mkubwa wa kuwalinda na kuwaheshimu Wazee waliomaliza utumishi wao. Tuna kila sababu ya kujivunia utumishi wa Mbowe ndani ya Chama hiki na tunamwambia asiwe mnyonge sisi vijana tuko nae na tunathamini kazi yake na asikae pembeni kwani bado tunamuhitaji." Amesema Kiongozi huyo.


Mwacheni Mbowe apumzike, mmedhalilisha mno kwa ajili ya tamaa ya UWENYEKITI. Sasa UWENYEKITI mmepata ila kwa vile hamna kipawa cha uongozi ndiyo maana mmekwama.

Ndani ya mwezi mmoja Lissu kayakoroga, huyo huko ananyea debe. Uongozi siyo sawa na matako kila mmoja anayo
 
Wakuu,

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob maarufu kama "Boni Yai" akiwa Kwenye Mkutano wa hadhara wa Chama cha Chadema Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro ameeleza kuwa Chama chake kinatambua mchango mkubwa wa Aliyekuwa Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, akimuomba asikae mbali na Chama hicho kutokana na kuhitajika kwake.

Jacob amesisitiza wajibu wa kuendelea kumtumia Mbowe na Wastaafu wengine wa Chama hicho katika ushauri, usuluhishi wa migogoro ndani ya Chama, akisema Wanachama na wapenzi wa Chadema wanawajibika kuwalinda na kuwatunza wastaafu hao.


Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Tuna wajibu mkubwa wa kuwalinda na kuwaheshimu Wazee waliomaliza utumishi wao. Tuna kila sababu ya kujivunia utumishi wa Mbowe ndani ya Chama hiki na tunamwambia asiwe mnyonge sisi vijana tuko nae na tunathamini kazi yake na asikae pembeni kwani bado tunamuhitaji."
Amesema Kiongozi huyo.


Hiko sawa
 
Wakuu,

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob maarufu kama "Boni Yai" akiwa Kwenye Mkutano wa hadhara wa Chama cha Chadema Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro ameeleza kuwa Chama chake kinatambua mchango mkubwa wa Aliyekuwa Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, akimuomba asikae mbali na Chama hicho kutokana na kuhitajika kwake.

Jacob amesisitiza wajibu wa kuendelea kumtumia Mbowe na Wastaafu wengine wa Chama hicho katika ushauri, usuluhishi wa migogoro ndani ya Chama, akisema Wanachama na wapenzi wa Chadema wanawajibika kuwalinda na kuwatunza wastaafu hao.


Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Tuna wajibu mkubwa wa kuwalinda na kuwaheshimu Wazee waliomaliza utumishi wao. Tuna kila sababu ya kujivunia utumishi wa Mbowe ndani ya Chama hiki na tunamwambia asiwe mnyonge sisi vijana tuko nae na tunathamini kazi yake na asikae pembeni kwani bado tunamuhitaji."
Amesema Kiongozi huyo.


Safi sana, Boni anapaswa aendelee kufanya siasa anazoziamini, aache habari za kuegemea kwa mtu. Anapaswa kujifunza.

Aliamini Ole Milya ni rafiki yake wa karibu sana, akamnenea James Ole Milya, akasimama hadi kumuongelea kwenye vyombo vya habari kumkanushia na kuwahakikishia watu kuwa James Milya hana mpango wa kurudi CCM na katika hilo wasahau, ndani ya wiki hiyohiyo James Milyaakatimkia CCM.
 
Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani Chadema, Boniface Jacob akihutubia wilayani Hai Mkoa wa Kilimanjaro leo Mei 29, amemtaka mwenyekiti wa zamani wa chama hicho, Freeman Mbowe kutokaa pembeni, bali aje kukisaidia chama.

 
Mwacheni Mbowe apumzike, mumedhalilisha mno kwa ajili ya tamaa ya UWENYEKITI. Sasa UWENYEKITI mumepata ila kwa vile hamna kipawa cha uongozi ndiyo maana mumekwama.

Ndani ya mwezi mmoja Lissu kayakoroga, huyo huko ananyea debe. Uongozi siyo sawa na matako kila mmoja anayo

Hii huruma kutokea mboga mboga huko imeanza lini?
 
Kwa nini wanatumia nguvu zote hizo kuonyesha kuwa wanamkubali Mbowe? Wanachopaswa kufanya ni:

1. Lissu, Heche na Mnyika kukiri kuwa Mbowe binafsi alichafuliwa sana wakati wa uchaguzi hususan kwenye suala la kulamba asali.

2. Kukiri kuwa kuna walio muunga mkono Mbowe ambao hawakutendewa haki baada ya uchaguzi. Wanapaswa kuwaomba msamaha watu kama Sigrada. Kusema kuwa madai yao sio ya kweli kwa sababu yeye hayajampata ni upuuzi. Avaae kiatu ndie anaejua wapi kina mbana.

3. Watambue mchango wa G-55 kwa Chadema hata kama baadhi yao wamehamia chama kingine cha siasa.

4. Kuacha na kuwasihi wafuasi wao kuacha kutumia kejeli na matusi dhidi ya wasio unga mkono uongozi uliopo na muelekeo wa chama chao. Kama vile Boni mwenyewe asivyotaka kuitwa msaliti kwa kumuunga mkono Lissu, wao nao wasiitwe wasaliti kwa kutofautiana na Lissu.

Boni asipofanya hivi, yote anayofanya yataonekana kuwa ni unafik na kujikomba kwa utawala mpya. Amuige Sugu ambae hatujamsikia akiwasemea ovyo G-55 ingawa anaunga mkono uongozi uliopo na sera zake.

Chadema inatakiwa kuwa na platform ndani yake ambayo itasikiliza na kushughulikia malalamiko ya wanachama wao. Watu kama Aisha wamesema wazi kuwa waliwasiliana na Heche na Mnyika kuwaelezea concerns zao lakini walipuuzwa. Wanatakiwa kubadilika na kuonyesha unyenyekevu kwa wanachama wao bila kujali tofauti zao.

Amandla...
 
Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani Chadema, Boniface Jacob akihutubia wilayani Hai Mkoa wa Kilimanjaro leo Mei 29, amemtaka mwenyekiti wa zamani wa chama hicho, Freeman Mbowe kutokaa pembeni, bali aje kukisaidia chama.
View attachment 3349970
View attachment 3349970
Mbowe sio punguani yaani Toka uchaguzi alikuwa anatukanwa na mashabiki wa Kibaraka Lisu na Hadi Sasa anatukanwa ndio aje kujipendeeza tena?

Chadomo pambaneni na Hali yenu,Mbowe Yuko busy na Biashara,mlisema anakula pesa za mama Abdul Sasa kiherehere Cha kumtafuta ni Cha nini?

Watu wote wenye akili Huwa hawako tayari kujibizana na mbumbumbu hiyo sio tuu sifa ya akili Bali Nguvu,the likes of Samia , umewahi sikia anajibizana na loosers?
 
Kwa nini wanatumia nguvu zote hizo kuonyesha kuwa wanamkubali Mbowe? Wanachopaswa kufanya ni:

1. Lissu, Heche na Mnyika kukiri kuwa Mbowe binafsi alichafuliwa sana wakati wa uchaguzi hususan kwenye suala la kulamba asali.

2. Kukiri kuwa kuna walio muunga mkono Mbowe ambao hawakutendewa haki baada ya uchaguzi. Wanapaswa kuwaomba msamaha watu kama Sigrada. Kusema kuwa madai yao sio ya kweli kwa sababu yeye hayajampata ni upuuzi. Avaae kiatu ndie anaejua wapi kina mbana.

3. Watambue mchango wa G-55 kwa Chadema hata kama baadhi yao wamehamia chama kingine cha siasa.

4. Kuacha na kuwasihi wafuasi wao kuacha kutumia kejeli na matusi dhidi ya wasio unga mkono uongozi uliopo na muelekeo wa chama chao. Kama vile Boni mwenyewe asivyotaka kuitwa msaliti kwa kumuunga mkono Lissu, wao nao wasiitwe wasaliti kwa kutofautiana na Lissu.

Boni asipofanya hivi, yote anayofanya yataonekana kuwa ni unafik na kujikomba kwa utawala mpya. Amuige Sugu ambae hatujamsikia akiwasemea ovyo G-55 ingawa anaunga mkono uongozi uliopo na sera zake.

Chadema inatakiwa kuwa na platform ndani yake ambayo itasikiliza na kushughulikia malalamiko ya wanachama wao. Watu kama Aisha wamesema wazi kuwa waliwasiliana na Heche na Mnyika kuwaelezea concerns zao lakini walipuuzwa. Wanatakiwa kubadilika na kuonyesha unyenyekevu kwa wanachama wao bila kujali tofauti zao.

Amandla...
Na Mbowe hawezi kuwa mpumbavu,hao kenge walishindwa kufanya Sasa za ustaarabu ila kumdhalilisha Mbowe.

Sasa ni wakati wao kupigania chama chao kama walivyotaka .

Kwenye Kampeni zote za Mbowe sehemu pekee aliyotoa Lugha mbaya ni kusema alimfadhili Lisu gari,nyumba hivyo ila hajawahi tukana mtu.

Mbowe endelea Kukaa kimya kuwa busy na mambo Yako.

Watu wote wenye Nguvu Huwa ni WA kimya the likes of Samia huwezi msikia anaropoka huko,mtu roporopo kwanza haaminiki hata Mimi binafsi Huwa nawakwepa.
 
Back
Top Bottom