Kwa staili hii tutafika jamani? Hii ni fashion, utandawazi au ndio usharubaro wa kike?
![]()
Amenona! Hawa wa hivi ndio chaguo langu
Kwa staili hii tutafika jamani? Hii ni fashion, utandawazi au ndio usharubaro wa kike?
![]()
Kweli..wanawake wakiwezeshwa wanaweza lol
Hapo ingeleta maana zaidai.Nafikiri title ya thread iwe hivi: "Bongo na utandauchi"
kwa walaji mishikaki bureeee hama kweli siku zinasogea
hivi kama anawazazi na wanaona hivo kwa mwana wao inakuwaje jamani maadili kushney
Conquest-We inherite nothing from them but we take as life style