likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,072
Umoja wa 'waigizaji' wa bongo maarufu kama bongo movie wameanzisha kampeni ya uzalendo kwanza ikiwa na lengo la kuunga mkono jitihada za Rais Magufuli katika uzalendo.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa umoja huo steve nyerere, amedai kuwa kampeni hiyo siyo ya kisiasa na inalenga kuhamasisha uzalendo.
Itakumbukwa kuwa bongo movie walikuwa kimya muda mrefu tangu kampeni yao ya mwisho ya MAMA ONGEA NA MWANAO katika kampeni za uchaguzi ambapo waliipigia kampeni CCM.
Source: Tbc1 habari.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa umoja huo steve nyerere, amedai kuwa kampeni hiyo siyo ya kisiasa na inalenga kuhamasisha uzalendo.
Itakumbukwa kuwa bongo movie walikuwa kimya muda mrefu tangu kampeni yao ya mwisho ya MAMA ONGEA NA MWANAO katika kampeni za uchaguzi ambapo waliipigia kampeni CCM.
Source: Tbc1 habari.