Bongo Movie nadhani wana cha kujifunza hapa

Bongo Movie nadhani wana cha kujifunza hapa

che wa Tz

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2011
Posts
277
Reaction score
71
zPjTHd
7tREBo
K1jAX9


Wadau nadhani hawa wadau wa sanaa wa Bongo Movie wana cha kujifunza angalau kidogo kutokana na baadhi ya hizi filamu ambazo kwa kiasi kikubwa zimerandana dhahiri na bayana na maisha halisi ya ombwe kubwa la Waafrika.

Hizi filamu nadhani zipo directed na madirector wa hapa hapa afrika ambao hawapo money oriented zaidi kama hawa wa part 2 za kibongo na kuigiza kwingiiiiii maisha ya kibeyonce.

Kwangu ni filamu ambazo zimebeba maudhui zaidi ya maisha ya mwafrika ya kila siku na mandhari yanayowazunguka zaidi waafrika walio wengi. Bongo Movie nadhani wanapaswa wajifunze kutokana na kazi za wenzetu kama hizi na nyingine kama Yellow Card n.k
 

Attachments

  • 1415114693273.jpg
    1415114693273.jpg
    44.8 KB · Views: 134
  • 1415114737532.jpg
    1415114737532.jpg
    10.9 KB · Views: 144
  • 1415114765257.jpg
    1415114765257.jpg
    23.1 KB · Views: 119
hawajifunzi maana hawapendi kukubali changamoto
 
Nairobi Half Life ina mkono wa taasisi fulani ya Ujerumani
 
Back
Top Bottom