Bongo Movie mnashida gani?

Bongo Movie mnashida gani?

Nilichokiandika ni kuwa kwasasa kazi zimejawa na utoto mwingi hna hakuna ubunifu Kama zamani. Nimetolea mfano wa hiyo kazi inaitwa KUBWA KULIKO na kazi nyingine za akina mkojani yaani ni utoto tu ndani yake.
Kuna shida ipi tuanze kuchambua?
NB; ile ni comedy
 
bongo muvi nyoso sana
jambazi linapigwa risasi likiwa linaendesha pikipiki
linashuka kwanza linaweka stendi eti ndo linaanguka linaanza kutupatupa miguu
eti linakata roho.............pumbavuu
 
Noma sana
 

Attachments

  • 20230910_194658.jpg
    20230910_194658.jpg
    42.3 KB · Views: 15
Hawa jamaa miaka kama 12 sijawahi waangalia siku za Hivi karibuni nilitumiwa picha na wife akisema hili ni jini la bongo movie. Nikajua ni utani wa bibie.

Basi Kwa siku za Hivi karibuni nikasema Wacha Nami nishuhudie vioja Hivi vya bongo movie asee niliishia kulala tu hamna ujuzi wowote uliongezeka zaidi ya kupoteana na kupoteza mvuto kabisa.

Ile tamthiliya sikuijua hata jina japo waingizaji au waandaji wote ni wazoefu mle lkn kinachofanyika hakieleweki.

Zamani kwenye miaka ya 2007.... Ray kigos na Steve kanumba walikuwa wanafanya vizuri kweli.

Tamthiliya kama
More than pain
White maria
Big daddy
Uncle JJ
Magic house
Oprah
Dar to Lagos
Nk ..hizi Hadi waleo Huwa najikumbushia hakika huyu jamaa alikuwa anajua haswaa.

Pamoja na kukaa muda mrefu kwenye game walioachwa haajajifunza kitu.

Hii ndio picha niliyo tumiwa na wife akidai ni jini aliona kwenye tamthiliya kwenye bongo movie.View attachment 2838222
🤣🤣🤣🤣
 
Hawa jamaa miaka kama 12 sijawahi waangalia siku za Hivi karibuni nilitumiwa picha na wife akisema hili ni jini la bongo movie. Nikajua ni utani wa bibie.

Basi Kwa siku za Hivi karibuni nikasema Wacha Nami nishuhudie vioja Hivi vya bongo movie asee niliishia kulala tu hamna ujuzi wowote uliongezeka zaidi ya kupoteana na kupoteza mvuto kabisa.

Ile tamthiliya sikuijua hata jina japo waingizaji au waandaji wote ni wazoefu mle lkn kinachofanyika hakieleweki.

Zamani kwenye miaka ya 2007.... Ray kigos na Steve kanumba walikuwa wanafanya vizuri kweli.

Tamthiliya kama
More than pain
White maria
Big daddy
Uncle JJ
Magic house
Oprah
Dar to Lagos
Nk ..hizi Hadi waleo Huwa najikumbushia hakika huyu jamaa alikuwa anajua haswaa.

Pamoja na kukaa muda mrefu kwenye game walioachwa haajajifunza kitu.

Hii ndio picha niliyo tumiwa na wife akidai ni jini aliona kwenye tamthiliya kwenye bongo movie.View attachment 2838222
Tangu zamani walikuwa hovyo sema kipindi hicho tasnia ilikuwa mpya
 
kuna bro wangu yeye test yake ya kwanza kwa dem mpya anayepanga kuingia nae kwene mahusiano wakifika geto kwake lazma ampe demu rimoti ya tv. dem akirogwa kuweka bongo movie imekula kwake mazma. akitoka apo block linamhusu. anadai hao wote akili zao zinafanana
 
Hawa jamaa miaka kama 12 sijawahi waangalia siku za Hivi karibuni nilitumiwa picha na wife akisema hili ni jini la bongo movie. Nikajua ni utani wa bibie.

Basi Kwa siku za Hivi karibuni nikasema Wacha Nami nishuhudie vioja Hivi vya bongo movie asee niliishia kulala tu hamna ujuzi wowote uliongezeka zaidi ya kupoteana na kupoteza mvuto kabisa.

Ile tamthiliya sikuijua hata jina japo waingizaji au waandaji wote ni wazoefu mle lkn kinachofanyika hakieleweki.

Zamani kwenye miaka ya 2007.... Ray kigos na Steve kanumba walikuwa wanafanya vizuri kweli.

Tamthiliya kama
More than pain
White maria
Big daddy
Uncle JJ
Magic house
Oprah
Dar to Lagos
Nk. Hizi Hadi waleo Huwa najikumbushia hakika huyu jamaa alikuwa anajua haswaa.

Pamoja na kukaa muda mrefu kwenye game walioachwa haajajifunza kitu.

Hii ndio picha niliyo tumiwa na wife akidai ni jini aliona kwenye tamthiliya kwenye bongo movie.

View attachment 2838222
Kwani mkuu jini huwa linafananaje tuanzíe hapo
 
Watafute story writers wakali

Watafute script writers wakali.

Selection ya wahusika na uhusika wao (kuna mtu anapewa role ya kuplay mpaka unashangaa walikosa mtu sahihi au ni uelewa mdogo kwa anayefanya hii selection?)

Budget.....Hapa ipo sehemu mbili, Budget ya movie na Budget za kununulia story....... (kama hawana watafute sponsors iwe ni nje au ndani ya nchi....kuna watu mpunga wanao na hawana pa kupeleka)

Kuna dada nilikutana naye akawa ananipa details za baadhi ya watu maarufu ambao wamemtapeli story zake na wamegoma kumlipa halafu anaona idea zake zinatumika kwenye movies zinazo rushwa live nilichoka.

Mtu kama Ray Kigosi anaweza kuwa moja ya watu ambao wanajua kuplay role wanazopewa kwa 100% huwa hakosei ila anaplay hiyo role kwa story ipi?

NB
Hata dialogue zinazowekwa kwenye story nyingi hazivutii kuziangalia mara mbili mbili.....Dialogue inaweza ikaifanya movie kuwa kali sana kama na story yake ni kali.

Kanumba alionekana kuwa beast kwenye industry kwa sababu jamaa alikuwa ni story writer hatari sana na alikuwa anajua hasa kuchagua actors sahihi na role ambazo wanatakiwa kuplay kitu ambacho kimewashinda wengi kwa sasa.

Kuna mengi sana ya kukaa kushauriana ila nani atakusikiliza? Wakubali kushauriwa na kupata ideas kutoka kwa watu ambao wapo nje ya zone yao sometimes.

Kuna actor mmoja niliwahi kumfuata nilikuwa na story moja kali mno na nilitaka nimpe bure kabisa .....nikashangaa kumbe inatakiwa nianze kubembeleza sana ndipo nisikilizwe nilibaki namshangaa.

Nilikaa naye kwa dakika 5 kuongea naye honestly kwa maelezo yake yalivyokuwa sikuwahi kurudi tena.



KUNA MUDA SANAA NI TAALUMA sio tu OCCUPATION.....watafute wataalamu wawasaidie

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Japo pia kuna issues nyingi sana ambazo zinakwamisha maendeleo bongo movie

-Wasimamizi husika .......hapa tumefeli kama nchi na industry kwa ujumla (National-personal level)

-Promotion

-Branding....hapa industry na wasaniii wenyewe (kwa wasanii wengi nadhani ni kwa sababu za kimaskini japo unaweza kuamua kujipa upekee bila pesa nyingi)

-Egoism n.k


Mambo ni mengi sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
PharaohMtakatifu, hizo movie za zamani unazozisifia nazo hamna kitu, kwasababu ni tamthilia ndiyo maana unaziona zina uhalisia. Ukitaka kuamini kwamba hazina lolote, zingekuwa action movies ungejionea madudu.

Watanzania tunachoweza sisi ni tatmthilia (zile za kupiga stori vibarazani) siyo action movies. Movie zetu bajeti ni ndogo sana kwa action movies. Hata hizo tamthilia bado zina makosa sana, siyo kwa waigizaji wala maproducer, kote kuna makosa. Waigizaji hawana uhalisia kabisa na waongozaji utaona mwanga wa picha unaongezwa na kupunguzwa, sauti ya soundtrack iko juu kuliko maongezi. Mbaya zaidi movie karibia zote za siku hizi utakuta soundtrack zinafanana. Kwenye scene sasa, scene za huzuni wanaweka soundtrack za furaha, scene za adventure wanaweka soundtrack za huzuni.

Waandaaji wa filamu hapa TZ hawajui wanachofanya, maadam mkono uingie kinywani wanenepeane na wapate umaarufu mtaani basi imeisha hiyo. Hawana tofauti na wanasiasa wengi walafi, wajimilikishe wao tu basi imeisha hiyo.
 
Watafute story writers wakali

Watafute script writers wakali.

Selection ya wahusika na uhusika wao (kuna mtu anapewa role ya kuplay mpaka unashangaa walikosa mtu sahihi au ni uelewa mdogo kwa anayefanya hii selection?)

Budget.....Hapa ipo sehemu mbili, Budget ya movie na Budget za kununulia story....... (kama hawana watafute sponsors iwe ni nje au ndani ya nchi....kuna watu mpunga wanao na hawana pa kupeleka)

Kuna dada nilikutana naye akawa ananipa details za baadhi ya watu maarufu ambao wamemtapeli story zake na wamegoma kumlipa halafu anaona idea zake zinatumika kwenye movies zinazo rushwa live nilichoka.

Mtu kama Ray Kigosi anaweza kuwa moja ya watu ambao wanajua kuplay role wanazopewa kwa 100% huwa hakosei ila anaplay hiyo role kwa story ipi?

NB
Hata dialogue zinazowekwa kwenye story nyingi hazivutii kuziangalia mara mbili mbili.....Dialogue inaweza ikaifanya movie kuwa kali sana kama na story yake ni kali.

Kanumba alionekana kuwa beast kwenye industry kwa sababu jamaa alikuwa ni story writer hatari sana na alikuwa anajua hasa kuchagua actors sahihi na role ambazo wanatakiwa kuplay kitu ambacho kimewashinda wengi kwa sasa.

Kuna mengi sana ya kukaa kushauriana ila nani atakusikiliza? Wakubali kushauriwa na kupata ideas kutoka kwa watu ambao wapo nje ya zone yao sometimes.

Kuna actor mmoja niliwahi kumfuata nilikuwa na story moja kali mno na nilitaka nimpe bure kabisa .....nikashangaa kumbe inatakiwa nianze kubembeleza sana ndipo nisikilizwe nilibaki namshangaa.

Nilikaa naye kwa dakika 5 kuongea naye honestly kwa maelezo yake yalivyokuwa sikuwahi kurudi tena.



KUNA MUDA SANAA NI TAALUMA sio tu OCCUPATION.....watafute wataalamu wawasaidie

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hii ni kwa watu wengi maarufu, wanaamini wao ni special kuwa pale walipo, ni tatizo la kisaikolojia zaidi, wanapoteza vitu vingi sana kwa Hiyo mindset Yao, kuna watu wana story Kali mno, creative na talented kuliko wao lakini kukosa elimu, exposure ni tatizo.
 
bongo muvi nyoso sana
jambazi linapigwa risasi likiwa linaendesha pikipiki
linashuka kwanza linaweka stendi eti ndo linaanguka linaanza kutupatupa miguu
eti linakata roho.............pumbavuu
Kuna Ile clip ilitembea sana mitandaoni majambazi yanavua viatu kwanza ndo yaingie ndani
 
tatizo la budget linachangiwa na mauzo mabovu, TZ tulitakiwa tuwe mbali sana kwenye hii tasnia, sote tunahusika kwenye haya matatizo kuanzia watengenezaji wa filamu, serikali pamoja na sisi raia.
Uko sawa lkn wao ndo wameifanya kupoteza mvuto Kwa watazamaji.

Kwanza ikifika sehemu bila kwenda kitandani hivo story haijakamilika bila kiss denda nk Bado. Ikafika hata huwezi Angalia na familia Tena! Watu wakaanza kuangalia movie za ki Nigeria! Unakumbuka?
 
Hii ni kwa watu wengi maarufu, wanaamini wao ni special kuwa pale walipo, ni tatizo la kisaikolojia zaidi, wanapoteza vitu vingi sana kwa Hiyo mindset Yao, kuna watu wana story Kali mno, creative na talented kuliko wao lakini kukosa elimu, exposure ni tatizo.
Upo sawa
 
Hawa jamaa miaka kama 12 sijawahi waangalia siku za Hivi karibuni nilitumiwa picha na wife akisema hili ni jini la bongo movie. Nikajua ni utani wa bibie.

Basi Kwa siku za Hivi karibuni nikasema Wacha Nami nishuhudie vioja Hivi vya bongo movie asee niliishia kulala tu hamna ujuzi wowote uliongezeka zaidi ya kupoteana na kupoteza mvuto kabisa.

Ile tamthiliya sikuijua hata jina japo waingizaji au waandaji wote ni wazoefu mle lkn kinachofanyika hakieleweki.

Zamani kwenye miaka ya 2007.... Ray kigos na Steve kanumba walikuwa wanafanya vizuri kweli.

Tamthiliya kama
More than pain
White maria
Big daddy
Uncle JJ
Magic house
Oprah
Dar to Lagos
Nk. Hizi Hadi waleo Huwa najikumbushia hakika huyu jamaa alikuwa anajua haswaa.

Pamoja na kukaa muda mrefu kwenye game walioachwa haajajifunza kitu.

Hii ndio picha niliyo tumiwa na wife akidai ni jini aliona kwenye tamthiliya kwenye bongo movie.

View attachment 2838222
Hizi hizi unazo kandia Kuna wengine huko wanaona burudaani na wanazifurahia. Watu hawafanani
 
Back
Top Bottom