Bongo Movie mnashida gani?

Bongo Movie mnashida gani?

Move ambazo kanumba ameziasha na zinaonekana bado mpya
Moses never say never.
Oprah
Craz love
Young billionaire
Devil kingdom

Jamaa alikuwa anayaona mapenzi katika mitazamo tofauti sana hasa aliona HAKUNA MWANAMKE MWAMINIFU kwenye mapenzi/ ndoa.
Hikindichokilipelekea kuchelewa kuoa..

Hiyo no 1. Aliongea ukweli mwanamke unao mpatia madaraka makubwa kuongoza anapopingwa anaona kama anatukanwa.
No 2. Oprah inaonesha vile wema wako unavyoweza kucost mahusiano/ ndoa yako. Hii ipo sana . Fikiria kanumba anavyomla kimasihara mke wa kigosi hadi wanahama mji..

Aisee jamaa move zake alikuwa anajua tuache.
.
 
Bongo Movie. Imekuwa kama ka closed society fulani. Hakuna talents mpya. Wanaangalia majina ya watu wale wale. Wanaingizwa watu kwa matakwa nje ya vipaji halisi. Unamwona MC maarufu naye mwigizaji lakini ni dhahiri hawezi.
Vipaji vipo mitaani kwa Director producer na Director serious.
Hapo ndo wanapoteza Kila kitu
 
Move ambazo kanumba ameziasha na zinaonekana bado mpya
Moses never say never.
Oprah
Craz love
Young billionaire
Devil kingdom

Jamaa alikuwa anayaona mapenzi katika mitazamo tofauti sana hasa aliona HAKUNA MWANAMKE MWAMINIFU kwenye mapenzi/ ndoa.
Hikindichokilipelekea kuchelewa kuoa..

Hiyo no 1. Aliongea ukweli mwanamke unao mpatia madaraka makubwa kuongoza anapopingwa anaona kama anatukanwa.
No 2. Oprah inaonesha vile wema wako unavyoweza kucost mahusiano/ ndoa yako. Hii ipo sana . Fikiria kanumba anavyomla kimasihara mke wa kigosi hadi wanahama mji..

Aisee jamaa move zake alikuwa anajua tuache.
.
Uhakika jamaa alijaliwa sana kipaji
 
Mkuu naweza kukubali maana na muda mrefu sana siangalii siku hizi wife akawa anachelewa sana kuja kulala ikabidi nikaangilie Nami hakika sikufanikiwa hata dk 10 nikaona hamna kipya kabisa ukilinganisha na movie za kipnd Cha nyuma
Mkuu namkubali sana huyu mwanadada Lamata Na Hii Juakali
 
Hawa jamaa miaka kama 12 sijawahi waangalia siku za Hivi karibuni nilitumiwa picha na wife akisema hili ni jini la bongo movie. Nikajua ni utani wa bibie.

Basi Kwa siku za Hivi karibuni nikasema Wacha Nami nishuhudie vioja Hivi vya bongo movie asee niliishia kulala tu hamna ujuzi wowote uliongezeka zaidi ya kupoteana na kupoteza mvuto kabisa.

Ile tamthiliya sikuijua hata jina japo waingizaji au waandaji wote ni wazoefu mle lkn kinachofanyika hakieleweki.

Zamani kwenye miaka ya 2007.... Ray kigos na Steve kanumba walikuwa wanafanya vizuri kweli.

Tamthiliya kama
More than pain
White maria
Big daddy
Uncle JJ
Magic house
Oprah
Dar to Lagos
Nk ..hizi Hadi waleo Huwa najikumbushia hakika huyu jamaa alikuwa anajua haswaa.

Pamoja na kukaa muda mrefu kwenye game walioachwa haajajifunza kitu.

Hii ndio picha niliyo tumiwa na wife akidai ni jini aliona kwenye tamthiliya kwenye bongo movie.View attachment 2838222
Mkuu, mbona unamnanga jini wetu?! Mbona yuko vizuri tu..😄
 
Back
Top Bottom