Bongo movie imerudi kwenye ubora wake sasa

Bongo movie imerudi kwenye ubora wake sasa

Ni wewe avatar yako inasadifu hilo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sio mimi
Unafikiri ningekuwa maarufu kama clam ningekuwa najisumbuwa kuchat na watu wabishi kama nyinyi [emoji13][emoji28][emoji7]
 
Sio mimi
Unafikiri ningekuwa maarufu kama clam ningekuwa najisumbuwa kuchat na watu wabishi kama nyinyi [emoji13][emoji28][emoji7]
🤣🤣🤣🤣 khaaaaaa!!!
Sasa we clam sijui una umaarufu gani?? Me leo ndo mara ya kwanza nakusikia!!
Wewe fata ushauri wangu, hizo kazi zako peleka Mbezi na shekilango kwenye office za mabus uone utakavyotoboa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaa!!!
Sasa we clam sijui una umaarufu gani?? Me leo ndo mara ya kwanza nakusikia!!
Wewe fata ushauri wangu, hizo kazi zako peleka Mbezi na shekilango kwenye office za mabus uone utakavyotoboa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaa!!!
Sasa we clam sijui una umaarufu gani?? Me leo ndo mara ya kwanza nakusikia!!
Wewe fata ushauri wangu, hizo kazi zako peleka Mbezi na shekilango kwenye office za mabus uone utakavyotoboa

Mimi sio
IMG_0172.png

Kamfuate Instagram uende kumpa huo ushauri wako
 
Acha ni kuongeze Kitu fulani my friend
Even kanumba wasn’t Better kuliko waigizaji fulani hapa nchini
Unajua why watu walisema kanumba was flag of Tanzania movie ni kwasababu ya watu ambao walikuwa wana msapoti walikuwa wengi kuliko waigizaji wengine
Pia alijua jinsi gani ya kuendana na mazingira some Time alikuwa comedia kwenye filamu zake
Alikuwa romatic
Alikuwa bad boy and normal boy
Alijua kubadirika kutokana na mazingira

Kwa isarito
emoji16.png
emoji1.png
emoji2.png
emoji3.png
kucheka tu kwenye filamu kwake ni shida
Mtu yupo serious mda wote kwenye filamu utafikiri amelishwa sumu ndo awe bora
Hapana bwana kuwa serious kidogo ndugu yangu
Am real sure ujui chochote kwenye sanaa kama unahis kanumba alkua bora kisa alkua anaigiza mapenz sjui comed my frnd u know nothing about it.. iko hiv msanii ukishajijua ww n msanii characheter yoyote utakayokutana nayo kwenye scne iwe unatakiwa kuiperfom vyema na kuuvaa uhusika mpka anaekuangalia aamni ww ndio huyo unaemwgza sio leo pasta myamba umwambie acheze kama daktar akwambie mm sijawah kua daktar ila naweza sana kuacheza kma pasta apo itakua ww sio msanii bora
 
Am real sure ujui chochote kwenye sanaa kama unahis kanumba alkua bora kisa alkua anaigiza mapenz sjui comed my frnd u know nothing about it.. iko hiv msanii ukishajijua ww n msanii characheter yoyote utakayokutana nayo kwenye scne iwe unatakiwa kuiperfom vyema na kuuvaa uhusika mpka anaekuangalia aamni ww ndio huyo unaemwgza sio leo pasta myamba umwambie acheze kama daktar akwambie mm sijawah kua daktar ila naweza sana kuacheza kma pasta apo itakua ww sio msanii bora

Sasa isarito kuna characheter ambazo haziwezi
 
Baada ya marehemu Steven Kanumba kufa Bongo movie ilipoteza mvuto wake. Ikapoteza ubora wake kwasababu ambao walibaki walishindwa kwenda na ubora ule ule marehemu Kanumba alikuwa nao.

Ndo kitu ambacho kilipoteza ubora na mvuto wa bongo movie. Baada ya miaka 13+ bila Kanumba ndo ametokea kijana uyu mdogo kabisa Clam Vevo kuja kajaribu. Kuendeleza ubora ule ule Kanumba alikuwa nao.

Kuna kipindi pia Nigeria nao walipoteza ubora wao Baada ya kizazi kile cha akina Ramsay kupotea ambao walitokea hawakuwa na ubora wowote Nigeria movie zikapoteza mvuto.

Wakatokea vijana wawili ambao kwasasa wana peperusha vizuri bendera ya Nigeria vizuri kwenye movie. Na vijana ao ni Chidi Dike. Na Tobi Bakare.

Naamini Clam Vevo kwa umaari wake wa kuigiza anaweza kurudisha ubora wa bongo movie

Kwa sisi ambao tumo kwenye tasnia, tunajua kuwa Bongo movie ilishuka kwasababu teknolojia ya kuuza filamu kwa dvd na VHS ilipitwa na wakati soko likafa, kutengeneza muvi ikawa hasara, hadi sasa bado ni hasara.

hatukuadapt haraka kuuza kwenye ma Netflix na mashowmax kama Ulaya na Afrika Kusini, ikapelekea wenye pesa kutoa uwekezaji kwenye filamu.

Hiyo ikafanya wasanii wazuri, ma producer wazuri kuacha filamu na kuwaachia watu wasiojua, ambao hawakuwa na fursa nyenginezo, na kutengeneza super low budget films

Leo hii kidogo tasnia inarudi upande wa series maana inaonekana ving'amuzi vinapambana kuvutia watazamaji waangalie tv zao.

Maproducer leo wanapokea pesa nzuri toka mativii, ila shida inakuja hawana shida namaunderground

Leo hii ni ngumu msanii mdogo kuonekana kwenye tv series.

Series zote zimejaa mastar wa zamani
 
Kwahiyo of course kanumba kufariki ilikuwa ni hasara kwa tasnia, ila pigo kubwa kwa bongo muvi ilikuwa ni kupitwa kwa wakati kwa teknolojia ya dvd na vhs

Kwa Afrika ni Afrika Kusini tu ndio walisurvive, kama mnavyojua wasauzi ni kama wazungu, ma dstv ni yao, ma showmax ni yao, akina Netflix wanajipeleka wenyewe huko nchi hiyo. Afrika Kusini wana filamu na series bora sana pengine kuliko nchi zote Afrika. shida yao wanapenda mno matusi kama wazungu halafu wameridhika na soko la ndani.

Nigeria pigo lilikuwa kubwa kama Bongo, ni wazi nollywood haina mashiko kama zamani, ila wako fasta wanauza sana movie Netflix these days.

Kenya wanakuja kwa kasi,

Sisi bado tupo nyuma, ila tupo serious na series
 
Sasa isarito kuna characheter ambazo haziwezi
Humjui ndio mana nakwambia ww sanaa umevutwa apa juu juu tu kila kona kuna ivyo vkmera 7D mkipeana scne mbil tatu na akaunt zenu za utube bas mnaona mnaijua sanaa haya ngoja tuishie hapa ila sku ukihtaj msaada wa kukua ki sana usisite kuja Pm😂 ntakusaidia
 
Back
Top Bottom