Bongo movie aibu tena

Watanzania tumelala sana !
kila kitu cha nje tunakiogopa kwa kuhofia ushindani hata kwenye sukari sikwambii magari..
tutafungia kila kitu cha nje na mwishoe tutashindwa kuingia kwenye masoko ya biashara ya kimataifa..
tutaishia kufanya biashara kati ya ngosha na mkwere.
 
Movie zao siyo nzuri hazina hata uhalisia nani azinunue???? Hata wakifunga tutadownload tuuu
 
Mamlaka ya kufunga maduka wanayo? Au ndio hearsay tu. Nina wasiwasi na hii thread huenda ikawa ni uzushi tu.
 
Bado nina wasiwasi na utashi wa baadhi ya viongozi wa awamu hii, na nilihisi hili baada tu ya kutangaza baraza la mawaziri na utendaji wao usio na dira. Mwisho watasema ni marufuku kuangalia mipira ya nje.

Wakukurupuka style.....

Kazi ipo divai mpya viriba vya zamani...
 
Mimi movie za kibongo huwa siangaliagi kabisa manake hazina mvuto hata kidogo movie nzur labda ni siri ya mtungi ndo huwa naifatilia kidogo Ile series imenipa ushawishi kwa mbali.
 
Nikweli Tanzania haina kiwango cha kuingiza na kuimba so waangalie tu kaz zao zisipate kuibiwa
 
Watapata wapi changamoto zitakazowawezesha kuboresha kazi zao? Vifungiwe basi hata vitabu vya hadithi za nje maana kuna wakati watu hufanya editing ya story au movies za zamani na kudai wametunga.
Imani yangu ni kuwa ushindani hupelekea kuzalisha bidhaa bora ili kuendana na kasi ya soko.
 
Mamlaka ya kufunga maduka wanayo? Au ndio hearsay tu. Nina wasiwasi na hii thread huenda ikawa ni uzushi tu.
NI KWELI MKUU NIMESIKIA KWENYE REDIO HALAFU HAO WA KWNYE MADUKA YA MUVI ZA KIKOREA MBONA LESENI ZA BIASHARA WANAZO KWANINI WAZUILIWE
 


Walianza na Bunge kutokuwa live, sasa dalili ndizo hizo za kupangiwa aina ya burudani...., let us wait
 
Jaman muv za kibongo....nikikumbuka yule jambaz aliemvamia iren kisha akavua viatu ndo akaingia ndan sion sababu ya kulazmisha tuzinunue
 
WAACHANE NA MAMBO YA PART ONE NA TWO AMBAPO UKIANGALIA MOVIE INAMATANGAZO KAMA ISHIRIN ALAFU MOVIE YENYEWE UNAANGALIA DAKIKA 15 IMEISHA ALAFU HAINA MVUTO UKIONA KASHA TU BAAS UMESHAJUA MOVIE IMECHEZWAJE TUPO KOREA BANA VITU VYA UKWEL MKIWEZA KUIGIZA HIVYO NA ZIWE NDEFU TUTANUNUA
 
THT, Bolingo movi, Clouds, COSOTA, ....naona kuna vitu havipo sawa up-stairs... Missing a target!
 

Haulijui soko la movie la Tanzania wstu wanaangalia cover la movie ndo anashawishika kununua movie
 
Usiongee kitu usichokijua....
 
Sababu za kufunga ni kwamba hazina stika za TRA (hawalipi kodi) na hii ni mpaka kwa baadhi ya muvi za kibongo zimekutwa hazina stika pia.
 
Nachoweza angalia bongo movie ni upande. Wa comedy tu hizo filamu siziwez,nadhan maji wanayokunywa kUwafanya wawe weupe Sasa yamekimbilia kwenye ubongo yanawavuruga,watawezeje kupambana na kaz za nnje wakat film. Zao no kutuonyesha mapaja na kuonyesha magar. Na majumba,yan tangu kanumba aondoke wana bongo movie wamekuwa kama meli ilozimika baharin inapelekwa tu na upepo,hivi wanaweza act kama movie za nnje ,huku ni kutotutendea haki wapenzi wa movie tz,alozifunga afikirie tena mahamuz yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…