Bongo move nusu yao ni hamunazo

Bongo move nusu yao ni hamunazo

Ngolewasima

Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
51
Reaction score
112
IMG-20180422-WA0107.jpeg
 
Sasa hapo si alizirai vidole vimejikunja hahaaaa. Niliacha kitambo kuangalia bongo movies
 
wanaigiza popote walipo ndio maana hawauzi kazi zao
 
Bongo move - bongo movie / filamu za wabongo / filamu za watanzania. / wanafilamu wa Tanzania.
 
Show off Kwa sanaaaa
Unakuta Mtu eti hana kazi ya maana yenye kuweza kumpatia kipato cha uhakika Kwa kila mwezi (fixed income earners) lakini anataka kuishi maisha ya gharama ya mashindano
Saluni za gharama, Nguo za gharama, sehemu ya kutembea Kwa miguu au kupanda daladala lakini atapanda tax
Wengi wao wamekuwa kam matapeli madeni kila halali!
Kwenye maswala ya maadili mema ndo balaaa!
Kwa Kweli hadi huruma !
 
Afadhali wale wa zamani wale wa kipindi cha mchezo wa "mambo hayo"
Wale walikuwa wakijiheshimi sana mfano akina Waridi, Aisha, Bishanga Bashaoga etc wale walikuwa na utulivu Mashallah !
Wale walikuwa hawajichubui wala kunywa Maji mengi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom