Utangulizi;
Nchiniki TZ kiongozi anaweza kuamua jambo la umma anavyotaka, mtajua wenyewe mfikiriaje!
Hoja kuu;
Juzi kati timu ya Singida walizindua uwanja wa kuchezea mpira mzuri tu. Mpaka hatua za kuuzindua maana yake upo tayari kwa matumizi.
Cha ajabu, leo Azam Sports wanatangaza kwamba mechi kati ya Singida na Azam itachezwa ule uwanja wa zamani wa CCM Liti.
Je, kuna taarifa yoyote kwa umma kuhusu ule uwanja uliozinduliwa wa Airtel kutotumika labda bado upo kwenye matengenezo ingawa ulizinduliwa?
Nchiniki TZ kiongozi anaweza kuamua jambo la umma anavyotaka, mtajua wenyewe mfikiriaje!
Hoja kuu;
Juzi kati timu ya Singida walizindua uwanja wa kuchezea mpira mzuri tu. Mpaka hatua za kuuzindua maana yake upo tayari kwa matumizi.
Cha ajabu, leo Azam Sports wanatangaza kwamba mechi kati ya Singida na Azam itachezwa ule uwanja wa zamani wa CCM Liti.
Je, kuna taarifa yoyote kwa umma kuhusu ule uwanja uliozinduliwa wa Airtel kutotumika labda bado upo kwenye matengenezo ingawa ulizinduliwa?