Bongo kuku analiwa kila kitu. hatariiii

Bongo kuku analiwa kila kitu. hatariiii

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
wabongo wanatisha yaani wakichinja kuku hawatupi kitu. wanakula kuanzia KICHWA,MIGUU,SHINGO,MGONGO,UTUMBO,NYONGO,FIRIGISI,KIPAPATIO,MAINI,MANYOA. hii ndio bongo wakuu. mnaonaje hapa?
 
Mbona wachina wanakula mpaka ushuzi wa kuku.
 
Acha uwongo. Kila kitu? Unataja manyoya yanaliwa? Wapi?
Kile kinyesi kwenye utumbo wake mbona wanasafisha! Si wangekula bila kusafisha?
Mbona wanaachia utitiri unakimbia ?
Kila kitu?
Damu yake mbona hawakingi?
Kila kitu? Una uhakika?
Mifupa mbona wanatupa?
 
Mm napenda kula pale pa kutolea taka patamu sana pale
 
Mbona sawa tu, maana kwa kuku kila kitu kinaliwa kiongozi.
Au uko kwenu kuna baadhi ya sehemu za kuku ni marufuku kuliwa?
 
Hizo njaa wabongo, jitambueni muing'oe ccm oct 2015
 
Duh! Tisha sana. Sauti ya kuku wanaweka ringtone kwenye simu, manyoya yanaliwa na pilipili nyingi😀😀😀
 
Hakuna cha ccm wala ukawa. Wote njaa tu. Tafuta pesa halali kwa hasira ya porini kama chui anavyofukuza swala. Hakuna kuachia pumzi mpaka unyake mshiko.
 
Mimi sili miguu,kichwa,utumbo nakula nyama inayoeleweka tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom