TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
that is not bongo flava....Hakunaga.
that is not bongo flava....Hakunaga.
Video bomba, Beat safi sana ila lyrics hazijanibamba kivileee
Kwa US bongo fleva ninayoiona mara kwa mara kwenye TV ni "Kipi ni dhambi kwa mwenye dhiki" by XPLASTAZ.
Huonyeshwa mara kwa mara Link TV - World Music.
Wamarekani wengi ninaowafahamu huniambia hii nyimbo iko real deep!!
RIP Faza Nelly.
Kaka umenikuna sana kwenye hizo trackIts one of the best Yes, and we can add
propaganda - FidQ
Ara-City - Fidy, G Nako
Mtazamo
Chemsha Bongo
Hili game
Pengo
Sikati tamaa - darasa
I am a playboy - Nick
darisalama - Chid Benz
maisha ya bongo - 20%
nk
Kaka umenikuna sana kwenye hizo track
Nini dhambi-Faza Nelly
Homa ya dunia-Solo Thang
Hao-Joh Makini
C.R.E.A.MBeat imelandana na wimbo 1 wa Wu tang. Najaribu kukumbuka jina. nikikumbuka nitairusha tyubu yako (youtube)