Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Salama WanaJF.
Bondia maarufu nchi Mada Maugo almaarufu King Junior amejiunga na chama cha demokrasia na maendeleo Chadema.
Muda mfupi ujao atakabidhiwa kadi na mjumbe wa kamati kuu kamanda Wakili Mabere Marando.
Nitumie fursa hii kumkaribisha ndani ya Chadema King Junior ili tusaidiane kuendeleza mapambano dhidi ya mkoloni mweusi.
Peoples Power!
Bondia maarufu nchi Mada Maugo almaarufu King Junior amejiunga na chama cha demokrasia na maendeleo Chadema.
Muda mfupi ujao atakabidhiwa kadi na mjumbe wa kamati kuu kamanda Wakili Mabere Marando.
Nitumie fursa hii kumkaribisha ndani ya Chadema King Junior ili tusaidiane kuendeleza mapambano dhidi ya mkoloni mweusi.
Peoples Power!