Bonanza la wanakihesa na mgeni rasmi Mwanasiasa

Bonanza la wanakihesa na mgeni rasmi Mwanasiasa

Calist Pascal

Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
32
Reaction score
11
Ndugu zangu viongozi wa Umoja wa wanakihesa huu sio wakati muafaka wa kumkaribisha kiongozi wa kisiasa kuwa mgeni rasimi kwenye bonanza lisilokuwa la kisiasa.

Huyo Mkurugenzi wa Makampuni ya ASAS sio mtu sahihi kuwa mgeni rasmi kwenye bonanza letu sijui ni kigezo gani kimetumika kumualika yeye. Hatutaki mwanasiasa wa chama chochote kwani umoja wetu sio wa kisiasa . wengi hatutashiriki kwa sababu tumeshajua kilicho nyuma ya pazia malengo ya mkurugenzi huyo yanajulikana.
 
Kabisa mkuu nilishaacha kuhuzulia hili bonanza kwa sababu lina vielementi vya "kiccm" pia usishangae watia nia wote wa CCM wakiwepo.
 
Ndugu zangu viongozi wa Umoja wa wanakihesa huu sio wakati muafaka wa kumkaribisha kiongozi wa kisiasa kuwa mgeni rasimi kwenye bonanza lisilokuwa la kisiasa. Huyo Mkurugenzi wa Makampuni ya ASAS sio mtu sahihi kuwa mgeni rasmi kwenye bonanza letu sijui ni kigezo gani kimetumika kumualika yeye. Hatutaki mwanasiasa wa chama chochote kwani umoja wetu sio wa kisiasa . wengi hatutashiriki kwa sababu tumeshajua kilicho nyuma ya pazia malengo ya mkurugenzi huyo yanajulikana.

ASAS in mwanasiasa was CCM na kipindi hiki atawataka muipigie kura Ccm
 
ASAS in mwanasiasa was CCM na kipindi hiki atawataka muipigie kura Ccm

Kwa hiyo jamaa akiongea tu mtabadilishwa Mtazamo??

Acheni uoga wana kihesa kama mna misimamo sidhani kama hilo ni tatizo, labda mna wasiwasi na baadhi ya watu wenu..

Siasa ndio ilivyo na hasa hupenda maeneo kama hayo kuliko pale wanapokubalika...

Msianze kupaniki mapema mtapotea
 
Bure kabisa ndo maana hatujiungi kwenye huu umoja kumbe ni wa kisiasa?mm nilijua ni wa kusaidiana na kwa shughuli za maendeleo! Hatuji hata kwa dawa,kwan kila mwanakihesa ni mwanaccm?umoja wenyewe una watu 4 tu!
Msigwa ndo mbunge wa mtarajiwa wa iringa mjini acheni kujisumbua
 
Back
Top Bottom