Bomu linalomwandama Magufuli

si ndio watoto wa dadaake sijui hebu wekeni fresh nauyo kebbys ndo nani yupo wapi?
Kebby's ni hotel ipo Mwenge karibu na kituo cha Bamaga, ni hotel ya hawala yake Magufuli anayeitwa Kabula dada (Kb) au Kebby. Inasemekana ni nguvu za mzee.
 
Huyu Magufuli sina hakika kama atafikisha kura milioni tatu
Kama mke wake tu hamkubari na ninahisi mke wa makufuri lazima kura atampa lowassa na ukienda huko kwao ndio hawamuelewi kabisa je hizo kura milion 3 atazipata wapi?
 
Ingekuwa vizuri habari hii ikachipishwa front page kuwakumbusha watanzania maana walishasahau. Kama iliandikwa na Salva Rweyemamu mwandishi wa habari wa rais kwa sasa, basi ni credible. Ichapishwe tena. Nawasilisha

Naunga mkonyo hoja. Kura zikitosha ichapishwe haraka sn ili watz wasiendelee kupotoshwa
 
Ndio maana magufuli hana confidence kabisa kwa sababu ya matatizo makuu manne
1. Mke wake kumsusa
2. Ufisadi aliofanya kwenye uuzaji wa nyumba
,3. Kushindwa kesi ya Samaki wa magufuli na kuliingizia taifa hasara kubwa
4. Kumpa kimada wake nyumba ya serikali
 
Kwani Sundi yupo wapi?Kabula nae ni nani?

Sundi ndiye yule kimada aliyezaa naye mtoto Jerry ambaye alimuhonga nyumba ya Serikali enzi hizo za kuuza nyumba za Serikali....

Kabula wa Keby's ni kimada wake wa sasa aliyemjengea Keby's hotel pale maeneo ya Mwenge.

Kwa hali hiyo kweli wife haimuumi!?

Jangwani yenyewe alisahau kumtambulisha mkewe halali Janeth, mpaka dakika za mwisho alipokumbushwa na JK.
Kwa udhalilishwaji huo , huyo mama ajipumzikie tu.
 
Ivi yule bwana mkubwa kama amepita mote humo atakuwa amekosa kakichwani kweli na inaoneka yule mzee anapenda sana chini hadi hadi anahonga nyumba serikali.
 
Ivi yule bwana mkubwa kama amepita mote humo atakuwa amekosa kakichwani kweli na inaoneka yule mzee anapenda sana chini hadi hadi anahonga nyumba serikali.

Kweli ccm ni ileile na wanaccm ni walewale. mkapa alimhonga mramba wizara ya fedha. Mwenzake kikwete alikuwa anahonga wilaya na mikoa sasa km akiwa waziri alikuwa anahonga nyumba za serikali je akiwa rais atahonga nn?
Tafakari chukua hatua weka ccm mbalo na watz.
 
Kweli ccm ni ileile na wanaccm ni walewale. Mwenzake kikwete alikuwa anahonga wilaya na mikoa sasa km akiwa waziri alikuwa anahonga nyumba za serikali je akiwa rais atahonga nn?
Tafakari chukua hatua weka ccm mbalo na watz.
Ataanza kuhonga nyumba za ikulu ndogo za wilaya.
 

Nani kaandika, mbona jina ni la Boss wa Kurugenzi kuu ya Habari State house au jina limefanana!?
 
Magufuli hafai kuwa Rais wetu, atawagawa hata watanzania kwa ndugu zake. Wapiga kura wanatakiwa watahadharishwe.
 

Hiyo ya nne umma haua uthibitisho ila hizo tatu za kwanza zinajulikana na Watanzania walio wengi!
 
Nani kaandika, mbona jina ni la Boss wa Kurugenzi kuu ya Habari State house au jina limefanana!?
Aliandika enzi hizo kabla ya kulambishwa asali ya ukurugenzi nafikiri leo akiiona makala hii anaweza kuikana.
 
Uzi upo tangu jana lakini wale jamaa zetu wa it wanachungulua tu wasepa hakuna anaye tetea mhhh imewakuna njooni kina
jinga lao
moto chin
liz
ritz
vip mpo kwenye sabato au leo kanisani tutawasubiri kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…