Bomu linalomwandama Magufuli

Magufuli kama unasoma hapa,kamuombe mkeo msamaha,hata mimi niliekuwa kambi yako mdogo mdogo.Yaani laana ya mke wako inakufuata.Ukweli popularity yako inapungua kila kukicha

Victoire kula likes zangu kibao kwa mara ya kwanza.
 
Ingekuwa vizuri habari hii ikachipishwa front page kuwakumbusha watanzania maana walishasahau. Kama iliandikwa na Salva Rweyemamu mwandishi wa habari wa rais kwa sasa, basi ni credible. Ichapishwe tena. Nawasilisha

Naunga mkono hoja.
 
Hii habari ni mbaya sana kwa Magufuli. Sasa ikiwa hivyo Waziri tu akiwa Raisi si itakuwa balaa?
 
Mods wataitoa.Tuisevu wakikata tuiweke kwenye Whattsup groups
 
Ukweli wa mambo Watanzania mara hii tunahitaji mabadiliko na tunayataka nje ya Ccm. Ukawa ndio suluhisho japo kuna kasoro kubwa ya vyama hivi vyote. Mgombea walomteua Lowassa ni tested leader anaweza ila kuna tatizo la afya yake. Amekua hawezi kuongea na kuzungumza kwa ufasaha. Lakini kwa vile tunataka mabadiliko tutampigia debe.

Ccm nao kama chama kina kasoro lukuki na kimeendelea kua chama kinachomilikiwa na kikundi maslahi sasa hivi. Ni wazi huwezi kupata ubunge bila ya pesa..ni kweli hili asije mtu kubisha , wakati wa uteuzi pesa zilitumika na ubabe.

Nao kwa ursis wakatupatia Magufuli. Mie nasema Magufuli hana sifa hata moja ya kuongoza nchii hii. Yeye mwenyewe hakutarajia kuwa atapita . Na ukweli alipita kutokana na wajumbe wa Nec kupiga kura za hasira baada ya Lowassa kukatwa. Wenyewe walimuandaa Membe . Walimueka Foreign miaka 10 ili aive kumtayarisha kuchukua nchi. Membe na mwembe zake lakini anazo sifa za kuwa rais.lakini mambo hayakua kama walivo tarajia akabwagwa chini. Turufu ikabaki kwa Makamba naye ni kijana ambaye angekua Bora zaidi..ni mwelewa. Lakini kura za maruhani zika mdondosha.

Hivyo sisi wapiga kura tumepata wagombea wawili tuchague. Mmoja , Magufuli not presidential material , not fit kuwa rais , hana sifa hata moja, he is not well informed person , sote tunakumbuka Mambo ya Saddam Na Kuwait. Huko mbele kwenye kuzisimamia sera za uchumi , mambo ya nje, uhusiano na mazungumzo na wafadhili hatujui itakuwaje...lakini huyu in short is not a presidential material. Akipita kuchaguliwa ccm wajitayarishe miaka mitano wachague mgombea mwengine nchi haiwezi ku afford kuongozwa kwa kurudi kinyume nyume.

Upande wa ukawa nao Lowassa ni tested leader, amekua waziri mkuu miaka 2. Rekodi iko wazi alimsaidia sana RAis akiwa W/Mkuu . Aliandamwa na kashfa lakini hizi si kigezo sana kwani kwa sasa kupata mr msafi ni kazi kweli kweli. Yeye anatatizo la afya na vyama hivi vya ukawa bado havina strtegies ya kujiimarisha kiuongozi . Miaka mitano hii wangetumia nguvu nyingi sana kushawishi watanzania wasomi na mashuhuri wawaunge mkono na kuingia ndani ya hivi vyama ili kubadilisha sura ya uongozi lakini walitidhika kuwa bile vile tangia uvhaguzi ulopita. Hakuna mabadiliko ya safu zao.hawana mipango thabit.

Sasa watanzania tumepewa choice hizi mbili tuchaguwe..na kwa hakuna budi lazima tuchague basi tuchague tu mabadiliko...tutafanyaje ?
 
Ukweli JPM sio kabisa..mkuu hii news ishatembea hata moderator akiifuta sio issue....huyu jamaa mtemi ukisikia hotuba zake ni mikwara kibao..sasa wtz tujiulize hv kwani ukiwa ktk baraza la mawaziri huwezi toa ushaufi wa maendeleo kwa mawazifi wenzio? Ye kila kitu anashangaa na kusema atawashughulikia akipata kura..alikua ansubiri apate uraisi ndio arekebishe mambo...huo ni ubinafsi...
 
Hizo pesa ambazo hazionekani kama bilion 38 inamaana makufuri ameisha idhulumu serikari muogope sana mtu hadi anaidhulumu serikali je mwananchi wa kawaida itakuwaje
 
Magufuli kama unasoma hapa,kamuombe mkeo msamaha,hata mimi niliekuwa kambi yako mdogo mdogo.Yaani laana ya mke wako inakufuata.Ukweli popularity yako inapungua kila kukicha

Bifu la mke hata siyo la Sundi ,itakuwa ni la Kabula wa Keby's.
 

niliwahi kusema, hao mafisadi atakaowaundia mahakama ni wa kuanzia lini? juzi, jana, leo au kesho? kwa hali kama hii, yeye ataipa ruhusa hiyo serikali yake imfungulie mashitaka? je salva atatoa ushahidi upande upi? huyu jamaa anafanana na kk yake yule wa upumabavu na ulofa na umbumbumbu!. Munafiki dawa yake ni kumwanika hadharani! wamezoea ubabe!
 
Angalia clip ya sumaye kajibu hilo swali alilouliza mbatia tafuteni kila kashafa ila edo ni kiboko wa kashfa
 
Mkuu inashangaza sana
 
Kweli ''uchafu'' wa CCM ni mfumo, hivyo katu haitatokea kiongozi mwana-CCM akibaki ndani ya CCM kuwa msafi lazima mfumo utambadilisha na kuwa kama wengine ndani ya CCM. Ndiyo maana mekuwa vigumu sana CCM kupambana na ufisadi, kutumia madaraka (ofisi/vyeo/dhamana) vibaya, kulindana, kutoa ahadi bila utekelezaji ..... n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…