Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha!


mkuu mimi nilivyoelewa pale baada ya lile bomu la mkono kurushwa, kuna raiya walikua mbali kidogo hasa wale waliokua kwenye usawa uwanja wa mpira wa miguu walidhani ni polisi wameanza kupiga mabomu ya machozi na wao wakaanza kujitetea kwa kuwapiga kwa mawe ndipo polisi nao wakaanza kutupa mabomu ya machozi hovyo.
naamini polisi wasingerusha mabomu ningeweza hata kumkamata muhusika kwa mikono yangu mwenyewe kwasababu alikua karibu yangu sana.


cc to Mungi

Mungu akubariki kwa kuwa muazi na mkweli. Wameuliwa ndugu zetu watanzania kwa maana upotoshaji wa aina yoyote utakuwa ni sawa na kumtetea muuaji na pia nina imani wewe mpotoshaji utakuwa muuaji. Narudia tena Mungu akubariki.
 
Last edited by a moderator:
ccm hawawezi kutega hayo mabomu ,ili waachive nini?tena siku ya mwisho wa kampeni...mbona unakua na haraka kulaumu kabla,au unahusika mkuu?

Sasa naanza kumwelewa Pengo kwa nini alisema lile Bomu lililoua watu Kanisani lilikuwa halina uhusiano na maswala la dini. Probably the system knows better na Pengo katika kauli yake alisema amepata taarifa kutoka credible sources (kwangu nilielewa ni usalama wa Taifa au mtu aliye usalama wa taifa). Hii inaonyesha lile Bomu lilikuwa na nia ya kuweka mazingira ya bomu hili la pili. Ikumbukwe bomu la Arusha la Olasiti lilikuwa wiki iliyokuwa inaanza campaign. Bomu hili kadri ya taarifa lilipuka karibu na jukwaa kuu, implying lilikuwa linalenga viongozi. Nashawishika, system inajua kinachoendelea, na hii ni hatari sana. Hali kama hii ikiendelea italiingiza taifa hili katika machafuko makubwa ambayo hakuna jeshi litakaloweza kuzuia. Let's wait and see lakini kwa hakika nchi inakwenda pabaya kwa udhaifu wa serikali, vyombo vya dola na ujinga wa watu wachache ndani ya system.
 
These people forget that we don't live in isolation. What you do affects me and what I
do affects you. We are connected. We have to realize that we are sharing this planet
and we must learn to behave responsibly.
You killed our lovely people today,we will kill you tomorrow...we gave you a responsibility to make our Tanzania
a peace place to live but now it become slaughter-house.Those who are responsible for our protection must be responsible for what happened ARUSHA....R.I.P our beloved people..
 
Na serikali hiyo hiyo ndio ilimuweka ndani au sio?
Sheria inasemaje kuhusu kuua kwa kukusudia,uko mlipomuweka kwani ni kifungoni?,watuhumiwa wote wanakujaga na pingu ila yeye alikuwa free na bado mkamtoa mkidai hakukusudia kuua..
 
Hizo ni siasa za uchochezi kama za mfa maji' kama mna ushahidi wa hayo yaliyotokea peleken kwenye vyombo vya sheria' hzo kafara mnazozitoa nyinyi cdm na kusingizia CCM zitawatokea puani' tumekuwa na vyama vingi vya upinzani nchi hii na Afrika kwa ujumla ila sijaona chama chenye siasa za kipuuzi na kipumbafu kama cdm kisichojua hata thaman ya uhai wa watu?????

Wewe ni mchawi na mfuasi wa magulu ya chemba.
 
Kuna haja kubwa kudhibiti hii milipuko inayoua raia wasio na hatia tena wakiwa katika kutimiza haki yao kikatiba, kabla ya kufikiria kupeleka majeshi DRC, Darfur, nk.
 
this is infair to the innocent pepple. tumefika hapa?? where are we heading. tuamuke
 
ccm kuweni makini na huyu mtu...kwa siasa zake chafu na kauli anazo toa azistahili kabisa na matokeo ya kauli zake majibu yanaonekana.
Hakika atawapa wakati mgumu sana kumnadi mgombea wenu wassira 2015...kwa sababu amtauzika kabisa kwa vitendo vyenu vya kinyama na kusababisha maisha ya watu kupotea...na pia nashanga sana usala wa taifa umeweka kambi arusha hii ni week ya pili lakini mambo kama haya yanatokea ni upuuzi wa hali ya juu sana na inauma sana kuona leo tufikie mahali tuogope kukusanyika mahali kwa kuhofia kulipuliwa.

Siku hizi hakuna usalama wa taifa bali kuna usalama wa watawala, wezi na mafisadi. Jaribu kufikiri mambo yanayofanyika hapa nchini na namna serikali inavyoyashughulikia. Ni aibu na fedheha iliyoje kwa Kikwete sasa hivi tunashuhudia hadi JWTZ na wakiwa na vifaru wanatumika kupiga raia wasiokuwa na chochote mkononi wakati wezi na wauaji wa raia wako mtaani pasipo woga wala hofu.
 
mkuu unachoongea ni sawa na kujaribu kina cha maji kwa miguu miwili tumeshuhudia maeneo mengi chadema wakifanya siasa za matukio ya kuuwa watu na vurugu kwa hiyo wanaweza kuhusishwa pia;lakini mantiki hapa siyo kutupiana mpira ni kutafuta ukweli.
mkuu unamfahamu mtu anayeitwa mwigulu nchemba? Usifanya mchezo, ile machine ni kama savimbi!
 
Mkuu mbona mnatoa matamko haraka sana kabla hata upelelezi haujaanza?

Inawezekana kabisa mnajua kinachoendelea

Chris Nadhani unanijua sipepesi macho...niliyokuambia ni makavu kabisa.Ni time ambayo unahitaji ku review jitihada zake pia zinalisha "harakati gani?".

Hujanijibu...nilipokuuliza wewe km polisi nini hujui kuhusu utendaji wa polisi?Leo mashuhuda wanema risasi za moto zilitumika ku "reinforce huo mpango"....na zimetoka kwa polisi..hazijasemwa kuwa zilikuwa zikishambulia gaidi au magaidi ila raia tena watoto..ambao wazazi wao wanaweza kuwa ni wapangaji wa pale AICC soweto.


Chis kuwezekana sisi kujua si kitu cha ajabu,hata wewe pia inawezekana unajua ila si kila kitu...ni mitazamo tuu ndio inabadili tafsiri ya ukijuacho.Kila mtu anajua ni nani anaweza panga na kufanya haya.Sijui utakuwa na zaidi?Bado Nakuacha uitazame Nafsi yako.

My friend Askari sasa hivi ni Marehemu...siku askari alifikishwa mahakamani kwa issue ya mwangosi...alisikitika sana..alimwonea sana huruma....yeye na familia yake.Alisema wazi ile ni kafara.

Km maisha yako yote hujawahi ona ndani ya polisi tabia za kiharamia, haukuona shida polisi kushikwa baada "kamanda wa polisi kusema huku anatetemeka kuwa kuna kitu kizito kilitoka upande wa CDM wakati mwangosi akiwakimbilia"...basi utakuw ana shida kubwa.Yule jamaa hadi juzi kazawadiwa na JK..ila ukipata muda na namna muulize nini anakijutia sana ktk kazi yake.
 

mkuu mimi nilivyoelewa pale baada ya lile bomu la mkono kurushwa, kuna raiya walikua mbali kidogo hasa wale waliokua kwenye usawa uwanja wa mpira wa miguu walidhani ni polisi wameanza kupiga mabomu ya machozi na wao wakaanza kujitetea kwa kuwapiga kwa mawe ndipo polisi nao wakaanza kutupa mabomu ya machozi hovyo.
naamini polisi wasingerusha mabomu ningeweza hata kumkamata muhusika kwa mikono yangu mwenyewe kwasababu alikua karibu yangu sana.


cc to Mungi
Ni dhahiri basi hata wao polis watakuwa walimwona au waliona hicho kilichorushwa,kama kuwapiga wangeanza kuwapiga hao waliokuwa mbali ambao walianza kuwarushia mawe,kwa nini wa-deal na nyie ambao mlitaharuki kwa hilo bomu...
 
Last edited by a moderator:
Sheria inasemaje kuhusu kuua kwa kukusudia,uko mlipomuweka kwani ni kifungoni?,watuhumiwa wote wanakujaga na pingu ila yeye alikuwa free na bado mkamtoa mkidai hakukusudia kuua..

Kama mlivyokusudia nyinyi? Kuripua mabomu halafu mjidai ni CCM. Mmeshtukiwa zamani.
 
Hizo ni siasa za uchochezi kama za mfa maji' kama mna ushahidi wa hayo yaliyotokea peleken kwenye vyombo vya sheria' hzo kafara mnazozitoa nyinyi cdm na kusingizia CCM zitawatokea puani' tumekuwa na vyama vingi vya upinzani nchi hii na Afrika kwa ujumla ila sijaona chama chenye siasa za kipuuzi na kipumbafu kama cdm kisichojua hata thaman ya uhai wa watu?????

Utakuwa na matatizo wewe, CDM ndo wanafanyiwa unyama na au CCM ama Serikali.

CDM hawana serikali hawana polis hawana jeshi hawana mahakama sasa watawezaje kufanya hayo matukio ikiwa serikali ipo? usalama wa taifa kazi yao nini?

unanichefua mpaka nashindwa kuku......
 
Dah! Nimesikitishwa sana na hii hali ya leo huko Arusha, inasikitisha sana tena sana, pole sana mh Mbowe kuwa mstaimilivu kwa hii hali:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom