Jiwe hana maono ya wapi nchi anataka kuipeleka, sasa ukimwambia afanye kama watangulizi ni sawa na kumchoma kwenye kidonda.
Unafikiri atakuwa anazungumzia nini ikiwa uchumi umemshinda, tatizo la ajira kalitengeneza kubwa zaidi baada tu ya kuingia madarakani.
Jiwe hata kama akifanya hivyo atakuwa hana lolote jipya la kuwaeleza Watanzania zaidi ya stori zile zile za kila siku ndege, sgr, tuibiwa sana, nchi tajiri hii, wapo watu wanakwamisha serikali yangu (Tundu Lissu) n.k hapo amekuwa amemaliza hotuba, na akiendelea zaidi ya hapo ni kutukana Watanzania.