Wamunzengo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 810
- 321
Ngoja kwanza nivute pumzi. Najua muda si mrefu tutapata majibu ya nani m-bovu, ZITTO au wanaopimana nae ubavu. Maana naona ZITTO anashambuliwa ki-dizaini, lakini ukiuliza watu ana makosa gani ya wazi, unapewa jibu la kuzungukazunguka tuu lililokaa kimajungu flani hivi. Mi nataka jibu la wazi, kosa lake ni hili na ushahidi huu hapa. Hupati shida kutofautisha nyeupe kutoka kwenye nyeusi.