- Thread starter
- #101
huyu director ali tuharibia kwenye tiger 3, yash chopra katu kosea kumtoa Siddharth na kumuweka ayan mukerjee.
jamaa alitengeneza amazing film in Wake Up Sid, ila anaboronga sana anapolazimisha hizi action films.
huyu director ali tuharibia kwenye tiger 3, yash chopra katu kosea kumtoa Siddharth na kumuweka ayan mukerjee.
Hao wa kusini siwakubali hata kidogo. Na hao ndio wanaongoza kutengeneza movie zenye actions za kitoto sana.hawa vijana wa South wana nguvu kubwa ya mashabiki
Dhoom 4 waliishia wapi?Nakubali mkuu, Dhoom 3 sio nzuri kabisa
Dhoom 4 waliishia wapi?
Dhoom haina haja ya muendelezo.naona bado wameshindwa kupata script ya uhakika, Ila kwa hali inavyokwenda hizi spy films zao zinavyoboronga wataitilia mkazo
Dhoom haina haja ya muendelezo.
Ila Krrish ina haja kubwa ya muendelezo, Krrish 3 walizingua kimtindo , naipa 60%.
Rakesh au Hrithik?Roshan ameshakata moto
Rakesh au Hrithik?
Bado ni hot cake huyoHrithik
Bado ni hot cake huyo
Nani anatoa hit ?kuna mambo yanataka jicho la tatu kuyaona mkuu, Jamaa ana six years without Hit, Hata opening zake zimekuwa below standard kabisa. War 2 ilitakiwa lazima ianze na 50 cr + day one ndani ya Hindi belt. kuishia 28cr big time failure.
Kuna mzigo wa saiyaara ni blockbuster na ile ya amir Khan ni hit zote za mwaka huuNani anatoa hit ?
Ukitoa Gadar 2 na Pathan, filamu ipi angalau imepenya ?
Maa ya Kajol japo sijaiona sidhani kama nayo imetoboa.
NitazitafutaKuna mzigo wa saiyaara ni blockbuster na ile ya amir Khan ni hit zote za mwaka huu
King khan ndio pekee ana weza wa challenge, wengine wote wana jivuta sana.hawa vijana wa South wana nguvu kubwa ya mashabiki
King khan ndio pekee ana weza wa challenge, wengine wote wana jivuta sana.
Naona hata don 3 ina elekea kule kule, srk ali shituka hizi script za siku hizi ni hovyo.kabisa jamaa wana loyal fans, War 2 day one south makusanyo yanakaribiana na ya original vision ya hindi, ni aibu sana Kwa Hrithik kama si fedheha kabisa.
Naona hata don 3 ina elekea kule kule, srk ali shituka hizi script za siku hizi ni hovyo.
race 3 nayo mbaya, sijui wao hawa oni hilo😂😂.
Wana jiamini majina makubwa kumbe hamna kitu, nonsense kabisa.tatizo lakutengeneza filamu ukiwaza pesa mbele ndilo linalosumbua.
Niliangalia sikandar ya Salman Khan nikaishia kati kweli ilikuwa na haki ya kuflopWana jiamini majina makubwa kumbe hamna kitu, nonsense kabisa.