Bollen Ngetti: Taifa linavuja Damu

Bollen Ngetti: Taifa linavuja Damu

So sad.[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Magufuli piga kazi mzee baba, tuliishi maisha ya kuigiza Sana. Haya ndio maisha halisi. Wanaovuja damu Sasa wengiwao ni wale waliowakamua wenzao jasho na damu enzi hizo Sasa zinawatokea puani. Japo wachache dhahama imewasomba kimakosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Return Of Undertaker,
Hao wateule mnawaonea tu bure,tatizo kama si magufuli basi ni Sisi watanzania, haiwezekani watu zaidi ya 55 milioni tuufyate kwa mtu mmoja tu,huo Kama si umama ni nini?
 
the truecaller,
Naomba nikuulize swali, Bollen Ngeti kuwa pro Membe ni jinai? Unaonaje ungejikita kwenye kujibu hoja zake kwa kuleta hoja kinzani na sio kumshambulia mtoa hoja kwa mambo yaliyo nje ya mada
 
Mwambieni asitupigie kelele, Uchumi unakua kwa zaidi ya 7% na maisha ya Mtanzania yanazidi kuimarika, nidhamu imerudi makazini na wafanyakazi wanafuraha kuliko wakati wote... huyu atakuwa mpiga dili au CDM..

2020 kula zote kwa JPM, ushindi 99.9%.
 
So sad.
emoji26.png
emoji26.png
emoji26.png
emoji26.png
emoji26.png
emoji26.png
emoji26.png


Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Ni kweli nchi inavuja damu. Leo nimepelekwa rumande mara baada ya kumwuliza mwenyekiti wa kitongoji kuwa yeye alichaguliwa lini? Aliposhindwa kujibu akakimbilia kwa wakubwa zake na kusema nimeitukana serikali.
 
We nae Zuzu tu kumbe yaani kila anaetoa maoni ni mpinzani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mazuzu ni type yako wewe na wenzio.
Haya aliosema huyu bollen ndio uandishi wa habari?

Je kama anaiweza au anaipenda siasa why behind bars?

Mnatumiwa na wanasiasa kwa ahadi za kuja kuukwaa uwaziri wa habari nk, halafu mnaacha maadili ya taaluma kwa kutumika kimtandao mkitegemea mtaachwa mfanye ujinga free?

No......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom