Bollen Ngetti apatikana huko Segerea

Kwa hiyo kiufupi alitekwa na jeshi la polisi na hawakutaka ndugu na jamaa wajue?
Ki ukweli sheria inakiukwa sana na jeshi la police katika ukamataji washukiwa.
Na utakuta wengi wao wanaishia kuuawa huko na kuzikwa kisirisiri.
Kama hawatobadilika na wao ipo siku yatawageukia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashite na Genge lake la kina Mulaga ni Wapuuzi sana.
 
Unamwamini boya huyo Ngetti anampa promo Membe Kwi kwi kwi!,jinga sana
Kumbe sababu kubwa ni Membe hivi Magufuli zimwo kweli?

Unamuogopa membe ili iweje kwa mfano wakati una kila kitu?

Wewe ni rais, majeshi polisi TISS yote yako chama pia wewe ni mwenyekiti si umfukuze Membe uwanachama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiseme unamwachia mungu hakuna kitu kama hicho. Pambana na mungu atakuwa upande wako. Ulisema namwachia mungu ni hatua ya kukata tamaa. Pambana ndani ya nchi yako kwa kusema ukweli hata kama wanakuua kwa kusema. Hapo ndio watakapojua mungu ni nani
 
Tatizo la hawa wanaotekwa ni hiyo kauli yao ya kumwachia Mungu...
Siku zote Mungu yupo bize sana..
Sasa utamuachiaje mambo yanayosababishwa na binadamu (m)wenzako...??
Hivi hii ni theolojia ya wapi??
Aiiseee. Wazo la mwaka hili!
 
Huyo jamaa sijui Ngeti inaelekea siyo smart sana kichwani vinginevyo asingechezea maisha yake kijinga hivyo.
Kwa mara ya kwanza ninakubaliana nawe; lakini kwa maana tofauti kabisa na uliyonayo wewe.

Huyu mwishowe watamuua, lwa lelemama zake hizi kuhusu jambo analotakiwa kulichukulia kwa umakini mkubwa sana.
 
. mmmmh Ni hatari nchi hii hii askari na intelligence YOTE. HII YA. TANZANIA WATEKAJI HAWAJULIKANI??????
 
. mmmmh Ni hatari nchi hii hii askari na intelligence YOTE. HII YA. TANZANIA WATEKAJI HAWAJULIKANI??????

Wanashindwa kufanya Ujasusi wa kiuchumi ili nchi ishindane na nyingine kiuchumi... Wao wanaendekeza kuteka, kupiga na kudhuru wenye akili za kuhoji!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…