Nauliza hawa wachungaji wanaoiba wake za watu kila siku kwa kupitia makanisa yao ni mafundisho ya biblia?
Je mapadri wanaogombania waruhusiwe wawe mashoga na wengine walikuja hadi hapa tanzania whitesands hotel kufanya mkutano wa maaskofu mashoga je hayo ndiyo mafundisho ya yesu kristo?
Stop fooling yourselves
ni mambo yao binafsi hawauwi watu wengine kama nyinyi na dini lenu la kishetwaani......mfyuuuuuuuuuuu