Nafikiri hayo yatakuwa mawazo yako tu....
Tatizo la waafrika ni kujaribu kuwatupua lawama wengine kwa matatizo tunayojitafutia wenyewe....
Boko Haramu ni zao la waafrika wenyewe....tusiwasingizie wazungu....Huyo Muhamed Yusuph founder wa Boko Haramu....alikua ni mwanazuoni wa kiislamu..na alikua na lengo la kuhakikisha sharia za kiislamu zinatumika Nigeria....Kumbuka Majimbo ya kaskazini ya Nigeria yana idadi kubwa sana ya Waislamu....hivyo huyu jamaa ilikua nirahisi sana kupata wafuaasi....
Boko Haramu wanapinga na kila kitu ambacho kiko western...Kuanzia Western Education, Uvaaji wa Suruali etc....hata ukiangalia maana ya Boko Haramu maana yake Western Education is Forbidden....
Huyu Yusuph alianzisha shule yake wakifundisha sharia na wazazi wengi hasahasa kaskazini mwa Nigeria walitoa watoto wao from government schools na kuwapeleka huko...umaskini iliwezekana ikawa sababu pia....
BOKO HARAMU ilikuja kuwekwa kwenye listi ya Terrorist Groups...baada ya kuanza kupata link na misaada ya makundi mengine yakiislamu al qaeda..etc....kwa lengo la kuwage global war....Hapo ndipo Marekani alipoanza kulifuatilia.....
Mambo mengine tuache kuwasingizia wazungu.....Wazungu huwa wanatafuta Loop hole....hawawez kuingia kama watu wameshikama....
Uislamu umefasababisha mtafaruku mkubwa sana....na hii ni sababu the good people in Islam wapo kimya....instead the hardliners ndo wansongea wanapata wafuasi mpaka inaonekana wanawakilisha waislamu wote