Boko haram ni mali ya CIA ya Marekani

Boko haram ni mali ya CIA ya Marekani

Waafrica tutaweza kuzishinda propaganda za wenzetu inabidi tuwe na viongozi kama the late Gaddafi na mzee yule alohonga nchi kwa wife ila hawa wapenda kulamba miguu ya wazungu vita haitaisha Africa abadani
 
Wazungu na waarabu wote fitina tupu. By the way hao boko haram wana ngozi nyeupe au nyeusi pyee kama nyani?

Entim,
Boko Haram ni weusi kama mkaa au mkorogo wa lami kabla haujachanganywa kwenye kokoto.
images (2).jpg
images (2).jpg
 
Mkiona taifa kubwa lina maendeleo sana kupita uwezo wake wa rasilimali basi jua kabisa kuwa hilo ni taifa la wezi ma majambazi, bila ya kuiRob africa mambo yao yanakuwa hayaendi kabisa.
Afrika imebarikiwa sana, na wanaotuibia wanalikubali hilo.
 
soma post vizuri wewe mrusi.inasema kuna watu wanajua ku controll akili za watu...wengine huwa hawafi huwa wanasema tuu mtu kajitoa mhanga lakini kumbe mtega bomu katega na kuondoka zake bila kuacha alama baada ya kulipua bomu na kudhuru watu...
wanaojiua kwa mabomu wengi wao hufanya bila ridhaa yako.soma post upya mkuu.isitoshe dini hairusu mtu kujiua .na pili ni kosa kuua mtu asiyekuwa na makosa.hivyo hayo mabomu huua wasio hatia.hivyo hii kitu hawaezi kufanya waislam kamili wanaojua dini yao vyema
huyo alishakakaririshwa hata umwambie maneno gani hakuelewi. ataendelea kuongea hivyo hivyo kama kasuku. Eti nae anajiona Msomi. Akili ya kuwaza na kuchambua mambo hana. anafuata mropaganda tu
 
Nakumbuka Bongo kabla mikataba ya gesi haijasainiwa hali ilikua tete mara mabomu Arusha kanisa mara zenji fujo tupu ilivosainiwa hali ikawa shwari kabisa. Shkamoo wazungu
 
Sisi mi africa ni mipoyoyo, yaaan kinacho fanywa tunazunguuukwa harafu tunaangushiana lawama wenyew, WAZUNGU WATU WABAYA SANA
 
Sisi mi africa ni mipoyoyo, yaaan kinacho fanywa tunazunguuukwa harafu tunaangushiana lawama wenyew, WAZUNGU WATU WABAYA SANA
 
Asante kwa kunipa Mwanga mpana sana, navuta picha seke seke la uchomaji makanisa na urushwaji mabomu kwenye hadhala mfano Arusha lilivyoanza hapa kwetu, kisha Kibiti saga! Thank God vimezimwa vyote na Maisha yetu yanasonga
 
Sisi mi africa ni mipoyoyo, yaaan kinacho fanywa tunazunguuukwa harafu tunaangushiana lawama wenyew, WAZUNGU WATU WABAYA SANA
viongozi wa kiafrica wengi wao ni masons hivyo huishia kufuata maagizo ya UN na mataifa ya kimagharibi bila kuwa na jeuri yoyote.koz wanajua wakipinga tuu ni either auliwe au atolewe madarakani kwa kashfa mbovu...chengine ni mihela wanayopata kutokana na huo unyama wao wa kukandamiza wananchi maskini walio weng.
viongozi timamu wapo lakini wanaogopa kujitoa mhanga..
 
Ahsante kwa somo lililo nyooka na kueleweka Africa tunasafari ndefu ya kujikwamua kutoka kwa mabeberu ya Ulaya na America.
 
Asante kwa kunipa Mwanga mpana sana, navuta picha seke seke la uchomaji makanisa na urushwaji mabomu kwenye hadhala mfano Arusha lilivyoanza hapa kwetu, kisha Kibiti saga! Thank God vimezimwa vyote na Maisha yetu yanasonga
inawezekana serikali ya magu iliwastukia hawa jamaa wakipanga mambo yao huku hivyo wakaamua kuwatoa kimya kimya wote walioshirikiana na hawa jamaa wa cia..ujue hizi biti za Magu zinawatisha wazungu saiv.kazuia makinikia,biashara imekua ngumu kwa mmarekani hapa Tz huku mchina anajizolea umaarufu hapa Tz...tuweni macho sana.ndege ndo washazikamata.bado mengine yatafata.soo tujitahid wasije wakatuingiza mkenge hawa jamaa na kufanya Tz kukazuka ghasia na machafuko
 
hey mkuu.soma vizur hiyo post..kuna kitu kinaiywa AFRICOM...hii ilikuja kuuzima moto wa Nigerria na umoja waliokuwa nao katika nchi za kiafrica.sasa katika kuzishawishi nchi za africa kujiunga na AFRICOM marekani alienda UN na EU bila kusahau kuwa alienda saudi arabia kuwaomba ushirikiano wao katika kuishawishi africa.
kwa mantiki hii ni kuwa inawezekana kabisa saudia wanafaidi pia kwa hizi vita zinazokolezwa huku africa hivyo kuwachanganya wote katika vita ya somalia ni bora kuliko kumlaumu mmoja wao..both USA na Saudia ni wahuni..wafalme wa saudia ni waizrael hilo wapaswa uelewe.na marekani viongoz wengi ni waizrael.hivyo unategemea nini hapo..
nmewataja waizrael maksud ili uujue ukweli ulio ndan ya usa na saudia..
Naomba kujua imekuaje wafalme wa Saudi Arabia ni wa Israel? Na sio Waarabu?
 
Wanzungu ni majambazi sugu, mtu anae washabikia bado hajui kitu na nikilaza kabisa. Series ya narcos ya Pablo ukiitizama kwa umakini utawaelewa CIA walivyo washenzi, napia inawezekana walimuua ili kupora mali zake.
 
Naomba kujua imekuaje wafalme wa Saudi Arabia ni wa Israel? Na sio Waarabu?
hili ni somo lingine kubwa sana mkuu..ila nikutaarifu tu kwa uchache ni kuwa hawa jamaa ni hatari sana kwa kupandikiza watu wao (waizrael) katika sekta za juu za serikali za duniani.nkianza kukueleza ilikuaje mpaka wale wakaweza kuweka ndugu zao pale itakua stori ndefu sana...me nakuomba uka google kuhusu.."world leaders from jewish origin".. huko utaona maajabu...
putin wa urusi......
trump babaake tokea scotts alikua myahudi pure.na trump kaoa mwanamke myahudi
bill gate ni muizrael
mark yule muunda facebook ni muisrael.
.me nimekupa kati ya ninaowakumbuka haraka .fanya ufatiliaji pia katiks.
"saudi royal family are jews"...
hapo utapata majibu ya swali lako mkuu
 
hili ni somo lingine kubwa sana mkuu..ila nikutaarifu tu kwa uchache ni kuwa hawa jamaa ni hatari sana kwa kupandikiza watu wao (waizrael) katika sekta za juu za serikali za duniani.nkianza kukueleza ilikuaje mpaka wale wakaweza kuweka ndugu zao pale itakua stori ndefu sana...me nakuomba uka google kuhusu.."world leaders from jewish origin".. huko utaona maajabu...
putin wa urusi......
trump babaake tokea scotts alikua myahudi pure.na trump kaoa mwanamke myahudi
bill gate ni muizrael
mark yule muunda facebook ni muisrael.
.me nimekupa kati ya ninaowakumbuka haraka .fanya ufatiliaji pia katiks.
"saudi royal family are jews"...
hapo utapata majibu ya swali lako mkuu
Nashukuru kwa kunipa mwanga nitalitafuta nipate kujua.
 
We jamaa una mahaba nauislamu. Mimi binafsi siya amini yote uliyo andika bali africa tuna tatzo lauongozi bola.
 
Back
Top Bottom