VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Rwandair imenunua kwa mkupuo ndege mbili za Boeing 737-800. Kila moja in auwezo wa kubeba abilia 174.
Shilika hili la usafili wa anga, limeonyesha kukua kwa kasi, na baada ya kujiunga na Qatar Airways, imeonekana lina uhitaji mkubwa wa ndege za ziada, kutokana na ongezeko la routes zake mpya.
Shilika hili la usafili wa anga, limeonyesha kukua kwa kasi, na baada ya kujiunga na Qatar Airways, imeonekana lina uhitaji mkubwa wa ndege za ziada, kutokana na ongezeko la routes zake mpya.