Duh....🙏🙏🙏🙏
It's all Business, Mbona Suge Mwenyewe alikuwa anataka (ana mpango) kuanzisha DeathRow East" ambayo HQ zingekuwa New York. And for your Information Snoop na Diddy hawajawahi kuwa na tatizo (beef). Issue ya Pac na Biggie ndio ilikuwa inaleta ukakasi. Hata Pac mwenyewe he is originally from Harlem(East) baadae Mama yake ndio alihamia Auckland California(West).Bro Gushleviv fatilia ndug mwana kampandia hewani Diddy ili kuiinua Death Raw.halafu unauliza akishirikiana na Diddy kuna tatizo gani?.Unajua Diddy yupo kambi gani?
i get you niggaIt's all Business, Mbona Suge Mwenyewe alikuwa anataka (ana mpango) kuanzisha DeathRow East" ambayo HQ zingekuwa New York. And for your Information Snoop na Diddy hawajawahi kuwa na tatizo (beef). Issue ya Pac na Biggie ndio ilikuwa inaleta ukakasi. Hata Pac mwenyewe he is originally from Harlem(East) baadae Mama yake ndio alihamia Auckland California(West).
So binafsi sioni ubaya wowote ule wa Snoop kushirikiana na Diddy coz its all about business.
Kwa hali ya Sasa beef zile kama za kina Pac na Biggie ni Ushamba tu.