BungelaKatiba2014tz
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,231
- 648
Hawataki kusikia wakiitwa hivyo, lakini huo ndiyo ukweli.ni chama cha kigaidi,kimeiva udini na ukabila
Hawataki kusikia wakiitwa hivyo, lakini huo ndiyo ukweli.ni chama cha kigaidi,kimeiva udini na ukabila
Kila kukicha utasikia kauli za Wafuasi na viongozi wa Chadema wakisema maneno yasiyokuwa na ushahidi wala tija kwa Watanzania. MF, mara eti safari za rais zimeathiri uchumi,mara escrow, mara twiga wameuzwa, mara Slaa eti anataka kuuwawa, mara serikali inawaua wandishi wahabari ,je nikweli kuwa CDM ni Chama cha Majungu?
Kila kukicha utasikia kauli za Wafuasi na viongozi wa Chadema wakisema maneno yasiyokuwa na ushahidi wala tija kwa Watanzania. MF, mara eti safari za rais zimeathiri uchumi,mara escrow, mara twiga wameuzwa, mara Slaa eti anataka kuuwawa, mara serikali inawaua wandishi wahabari ,je nikweli kuwa CDM ni Chama cha Majungu?
Waulize ccm wao ndy wana majibu kwani hyo kagenzi washamtelekezaKama kichwa cha habari kilivyo jamani naombeni kujua sakata la mlinzi wa slaa kupigwa na makada wa chama cha chaadema liliishia wapi? Tujuzane jamani
Movie ina kolea weka habari kamili! Hivi chadema bwana khalidi amewakosea nini?
Hakika sisi akina mwanne hatuna chetu chadema.
Kuna Kitu Nafuatilia kuhusu Red Brigades, it's activities, Ben Saanane and his roles in Chadema and the purported disappearance.Akiongea na Waandishi wa habari leo, Khalid Kagenzi ambaye alikuwa mlinzi binafsi wa Dk. Wilbroad Slaa,
Katika Jambo la kushangaza Mlinzi huyo amefichua mipango ya kitesaji na kigaidi inayofanya na CHADEMA huku akisema wameandaa ofisi ya utesaji.
"Jamani hiki chama ambacho kina ndoto ya kuchukua nchi leo kinaandaa mipango ya mauaji na utesaji kama walivyonifanyia? Maana wameniteka na kunifungia kwenye chumba cha utesaji wanachomiliki wao wamechoma visu na kuweka kwenye Mashine ya umeme bila kosa lolote, eti wakinishinikiza mimi nitaje wanaonituma, jamani nawaambia mimi hanitumi mtu" ameedelea kusema Kagenzi.
Aidha, Kagenzi amekitupia lawama chama hicho huku akisema kwenye mateso waliyomtesa yamemfanya apoteze hata nguvu za kiume
.