Bowbow
JF-Expert Member
- Oct 20, 2007
- 541
- 30
Ndugu wana JF,
Nimesukumwa sana kuleta hoja hii hapa mbele yenu baaada ya kuona ni namna gani Uchumi wa nchi unaendeshwa bila kuzingatia maslahi ya nchi.
Kwa sasa Tanzania haina Bodi ya wachumi ambayo ingekuwa inatoa maoni(proffessional advice) mbalimbali, kukemea, kuelimisha, kushauri, kutafiti n.k kwa manufaa ya serikali, umma, na vyombo mbalimbali kuhusiana na sera mbalimbali, matokeo mbalimbali(Volatility of Oil prices, Gold, Increase in electricity cost, umasikini, afya, finance,n.k)
Kwa sasa serikali inategemea wachumi waliopo kwenye ofisi zake, ESRF, REPOA na Universities katika kuandaa na kutekeleza sera zake ikiwa wote wanategemea funding kutoka serikalini thus hawawezi kuishauri serikali vinginevyo pale inapotokea sera zake hazikuleta matunda yaliyotarajiwa.
Hivyo bodi inahitajiwa ili kuwahusisha wachumi wote walioma ndani nje ya serikali, pamoja nje ya nchi na wengine wanaopenda kujiunga na bodi hiyo kuisadia serikali kwa kushauri, kuelimisha, kutafiti, kukemea sera chafu kama za madini(kuanzia utafutaji, uchimbaji, uuuzaji, na hata ulipaji kodi), Sera za ubinafsishaji na Uwekezaji zisizomjali Mtz, ukusanyaji wa kodi, unemployment n.k).
Chombo hiki kilikuwepo wakati wa Mwl.JK ila baada ya Mh AHM kuingia madarakani viongozi wote wa chombo hiki na wengi wa members wao walipewa madaraka na majukumu makubwa serikalini wakashindwa kufanya kazi za chama na hata kuitisha vikao ili kuchagua viongozi wengine mwisho wake kikatoweka.
Je nini maoni yenu wana JF kwa kutaka kuanzisha kwa bodi hiyo?
Naamini humu kuna wachumi humu JF, wewe kama mchumi nini mchango wako kwa Tz?
Hint: Tumeona body ya wahandisi, wahasibu, boharia, wanasheria (refer to Ms. Karume issue)n.k jinsi wanavyoplay role yao collectively. Ni lini sisi wachumi tutaplay part yetu?
Nakaribisha maoni hapo na pia kwenye PM yangu
Nimesukumwa sana kuleta hoja hii hapa mbele yenu baaada ya kuona ni namna gani Uchumi wa nchi unaendeshwa bila kuzingatia maslahi ya nchi.
Kwa sasa Tanzania haina Bodi ya wachumi ambayo ingekuwa inatoa maoni(proffessional advice) mbalimbali, kukemea, kuelimisha, kushauri, kutafiti n.k kwa manufaa ya serikali, umma, na vyombo mbalimbali kuhusiana na sera mbalimbali, matokeo mbalimbali(Volatility of Oil prices, Gold, Increase in electricity cost, umasikini, afya, finance,n.k)
Kwa sasa serikali inategemea wachumi waliopo kwenye ofisi zake, ESRF, REPOA na Universities katika kuandaa na kutekeleza sera zake ikiwa wote wanategemea funding kutoka serikalini thus hawawezi kuishauri serikali vinginevyo pale inapotokea sera zake hazikuleta matunda yaliyotarajiwa.
Hivyo bodi inahitajiwa ili kuwahusisha wachumi wote walioma ndani nje ya serikali, pamoja nje ya nchi na wengine wanaopenda kujiunga na bodi hiyo kuisadia serikali kwa kushauri, kuelimisha, kutafiti, kukemea sera chafu kama za madini(kuanzia utafutaji, uchimbaji, uuuzaji, na hata ulipaji kodi), Sera za ubinafsishaji na Uwekezaji zisizomjali Mtz, ukusanyaji wa kodi, unemployment n.k).
Chombo hiki kilikuwepo wakati wa Mwl.JK ila baada ya Mh AHM kuingia madarakani viongozi wote wa chombo hiki na wengi wa members wao walipewa madaraka na majukumu makubwa serikalini wakashindwa kufanya kazi za chama na hata kuitisha vikao ili kuchagua viongozi wengine mwisho wake kikatoweka.
Je nini maoni yenu wana JF kwa kutaka kuanzisha kwa bodi hiyo?
Naamini humu kuna wachumi humu JF, wewe kama mchumi nini mchango wako kwa Tz?
Hint: Tumeona body ya wahandisi, wahasibu, boharia, wanasheria (refer to Ms. Karume issue)n.k jinsi wanavyoplay role yao collectively. Ni lini sisi wachumi tutaplay part yetu?
Nakaribisha maoni hapo na pia kwenye PM yangu