johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Bodi ya Mto Wami imezuia Kilimo cha Umwagiliaji kutokana na upungufu wa Maji mtoni
Wakulima wa mpunga nk wameshauriwa kusubiri Mvua za msimu kwani kipaumbele cha sasa ni Maji kutumika majumbani na Wananchi zaidi ya Milioni 8 wanaoyategemea kwa maisha
Source ITV Habari
Sabato njema!
Wakulima wa mpunga nk wameshauriwa kusubiri Mvua za msimu kwani kipaumbele cha sasa ni Maji kutumika majumbani na Wananchi zaidi ya Milioni 8 wanaoyategemea kwa maisha
Source ITV Habari
Sabato njema!