Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 367
- 495
Habari wakuu.
Tunawashukuru bodi ya MISHAHARA kwa kuwa suala la mishahara kwa WATUMISHI wapya limeanza kufanyiwa kazi baadhi wamepokea salary ila si wote.
Ninachoomba ni chonde chonde wapatieni WATUMISHI wote MISHAHARA kwa wakati.
Natanguliza shukrani
Tunawashukuru bodi ya MISHAHARA kwa kuwa suala la mishahara kwa WATUMISHI wapya limeanza kufanyiwa kazi baadhi wamepokea salary ila si wote.
Ninachoomba ni chonde chonde wapatieni WATUMISHI wote MISHAHARA kwa wakati.
Natanguliza shukrani