😂😂😂😂😂Msomeshee hadi vyuo vikuu halafu muanze kiwadharau baba zenu na kutukuza mama zenu eti nani km mama. Ngoja msote, na hapo bado. Ukitaka kujua uchungu wa boom maliza urudi uraiani upate kizazi cha mishahara wa kukusaidia kutumia halafu bodi wakuingilie na kenyewe kafyekwe 15%. Lazima ujiuze 😂😂
Waambie HESLB watakupa ufafanuzi.Basi wazazi walipe nusu
Kwani elimu ya chuo kikuu ni lazima.Basi wazazi walipe nusu
LikewiseKwani elimu ya chuo kikuu ni lazima.
Uzuri mkopo wa chuo ni hiari, hulazimishwi. Ukijua kula vya wenzio na wewe ukubali kuliwa (Jakaya's voice) 😂😂
Usipowaambia kama ulikopeshwa kuna ubaya gani kiongoz?Msomeshwe hadi vyuo vikuu halafu muanze kuwadharau baba zenu na kutukuza mama zenu eti nani km mama. Ngoja msote, na hapo bado. Ukitaka kujua uchungu wa boom maliza chuo urudi uraiani upate kizazi cha mshahara wa kukusaidia kupuma tu halafu bodi wakuingilie na kenyewe kafyekwe 15%. Lazima ujiuze 😂😂
Ubaya upon, kwa taasisi binafsi ni amri siyo ombi, ukikutwa umeajili degree holder na amesomea mkopo na wewe boss umenyuti. Kazi unayo.Usipowaambia kama ulikopeshwa kuna ubaya gani kiongoz?