- Thread starter
- #21
katika utumishi wa umma bodi nyingi naona ni mifuko ya ccm tu ,haukuna loloteNasikia hata ukimaliza mkopo ukaenda kuchukua cerificate wanakwambia bado kuna interest sijui ya nini! Wakati kule kwenye mfumo deni lilisha kuwa ziro
Sent using Jamii Forums mobile app