kabwekasoma
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 260
- 153
Bodi ya mikopo ya elimu leo imekana taarifa kwamba itatoa mikopo kwa wanafunzi waloobaki yaani 5000. Kutokana na ukata unaiokabili kutokana serikali kushindwa kupeleka fedha kwa ajili ya upangaji wa mikopo. Hii imesababishwa na vipaumbele vya serikali ya sasa ambavyo ni viwanda na na elimu bure mpaka form four na sio chuo kikuu. Hivyo msemaji alidai serikali inaukata wa fedha hivyo wanategemea wanafunzi watakao appeal wafanye hivyo kwani mapato yatakayopatikana kama fees (66850×10000=668,500,000) yanaweza yakasaidia angalau kudhamini wanafunzi hata 200. Ili kupunguza malalamiko mengi ya wanafunzi.alisisitiza wanafunzi kuapil hata wale waliopata iliwaweze kuwasadia wenzao. Lakini mnyetishaji alisema kama mbinu hiyo itashindikana basi tunaweza tukaanalia utaratibu wa harambe.