Mr Chawa Member Joined Oct 25, 2018 Posts 57 Reaction score 11 Nov 3, 2018 #61 Hata Mimi nafkr Maana huwez toa jina la mtu then useme Huna vigezo Waseme tuifanye iwe beko kwamba nayo ni bahati nasibu
Hata Mimi nafkr Maana huwez toa jina la mtu then useme Huna vigezo Waseme tuifanye iwe beko kwamba nayo ni bahati nasibu
M mbingunikwetu JF-Expert Member Joined Feb 17, 2015 Posts 13,909 Reaction score 18,551 Nov 3, 2018 #62 war boi lupa said: Kulipiwa ada elfu 70 sio kitu cha ajabu ndo maana kuna asilimia za mkopo Click to expand... Hujui unachokisema. Mtu unalipiwa sh 70,000/= kati ya 3,000,000/= halafu unasema ni sawa!
war boi lupa said: Kulipiwa ada elfu 70 sio kitu cha ajabu ndo maana kuna asilimia za mkopo Click to expand... Hujui unachokisema. Mtu unalipiwa sh 70,000/= kati ya 3,000,000/= halafu unasema ni sawa!
Mr Chawa Member Joined Oct 25, 2018 Posts 57 Reaction score 11 Nov 4, 2018 #63 Raisi anafanya kazi yake tena vyema kabsa bas tu binadamu mtenda jema lazma awepo tu middle man wakuliharibu.
Raisi anafanya kazi yake tena vyema kabsa bas tu binadamu mtenda jema lazma awepo tu middle man wakuliharibu.