Bodi ya mikopo ni shida tu

Bodi ya mikopo ni shida tu

Ndani ya miaka kumi ijayo hii body ya mikopo itakuwa kama kijiwe cha kahawa tu,wazazi mnapokuwa mnawatafutia wanenu Ada watafutieni Hadi za chuo,taratibu taratibu ishu ya mikopo inakufa,mikopo ilikuwaga enzi hizo watu walijenga Hadi ma bangalow sio leo

Kweli mkuu,1st yr wa mwakani itabidi wawe pata darasa kuhusu mikopo preparation ni muhimu
 
Amina,na wewe Mungu Akubariki kwa kuwa na mdomo mchafu hata kama hujakosewa
Mkuu unabishana na vitoto vya first year! Unapoteza muda wako tu kama anajiona anaelewa kila kitu wa nini...achana nae utoto unamsumbua...na yeye anajiona yuko level za degree kumbe hajui ata degree inapatikanaje...calm down broo mwache kwanza akue
 
Mkuu unabishana na vitoto vya first year! Unapoteza muda wako tu kama anajiona anaelewa kila kitu wa nini...achana nae utoto unamsumbua...na yeye anajiona yuko level za degree kumbe hajui ata degree inapatikanaje...calm down broo mwache kwanza akue

Tatizo la wasomi wa Tanzania mna zarau wengine ambao bado hawaja fikia level zenu,kuna haja gani ya kumuita mwenzako shwain pambana kwa hoja mkuu
 
Mkuu unabishana na vitoto vya first year! Unapoteza muda wako tu kama anajiona anaelewa kila kitu wa nini...achana nae utoto unamsumbua...na yeye anajiona yuko level za degree kumbe hajui ata degree inapatikanaje...calm down broo mwache kwanza akue
Sasavunataka kuniambia kuwa serikali imeshindwa kutoa mikopo?hata mh rais alisema kuna wasomi lakin wapumbavu pia we we ni nani mpaka usikanywe ukipotosha watu
 
Nimekuelewa bro,ahsante Sana,badala ya kumuomba msamaha huyu dogo nikuombe wewe mkuu kwa kuwa jamii ya mtu mstaarabu
Mkuu unabishana na vitoto vya first year! Unapoteza muda wako tu kama anajiona anaelewa kila kitu wa nini...achana nae utoto unamsumbua...na yeye anajiona yuko level za degree kumbe hajui ata degree inapatikanaje...calm down broo mwache kwanza akue
 
Mara nyingi anayeitetea bodi hii simuelewi. mapungufu ni mengi sana.
 
Back
Top Bottom